Discory
Member
- Aug 10, 2012
- 62
- 6
Drugsssss!!!!!!!!!!!!!!! hawa watu wana laana ya mwisho
Kweli waswahili walitaka kuona movie ya Magma ndo maana wakashindwa msadia huyu dada lakini mwisho wa siku hii dhambi na aibu itawaangukia wale wote waliohusika kwenye hili tukio iwe kwa kushangaa tuu na bila kutoa msaada,ama kusogea eneo la tukio na kufurahia huu upuuzi maana wengi ni wale watoto wanaoshinda chini ya Minazi/Miembe wakicheza Bao washenzi hawa mdebwedo wakubwa,
Jeshi la Polisi ni kimbilio la waliofeli Mitihani yao iwe Fiv ama Fvi So hainipi tabu kuamini kuwa uelewa wao Mdogo walishidwa kumtia Hatiani Huyu Fedhuli, mtoka pabaya mjaa laani mpaka kopeni
Kweli waswahili walitaka kuona movie ya Magma ndo maana wakashindwa msadia huyu dada lakini mwisho wa siku hii dhambi na aibu itawaangukia wale wote waliohusika kwenye hili tukio iwe kwa kushangaa tuu na bila kutoa msaada,ama kusogea eneo la tukio na kufurahia huu upuuzi maana wengi ni wale watoto wanaoshinda chini ya Minazi/Miembe wakicheza Bao washenzi hawa mdebwedo wakubwa,
Jeshi la Polisi ni kimbilio la waliofeli Mitihani yao iwe Fiv ama Fvi So hainipi tabu kuamini kuwa uelewa wao Mdogo walishidwa kumtia Hatiani Huyu Fedhuli, mtoka pabaya mjaa laani mpaka kopeni