Jakaya Kikwete: Stop charging in foreign currency

Jakaya Kikwete: Stop charging in foreign currency

Ndg BAK,
Mnyika Alisha waambia watanzania, sema Midanganyika tuna sahau sana.
Director akiwa bata, katika jamii hiyo hiyo akawemo nyoka makengeza, unategemea uhai wa vifaranga? Pamoja na kwamba vifaranga vinakuwa havijitambui ingawa vinaona vikidonolewa na nyoka. Ni sawa na yale ya chui kuonyesha ana wapenda sana mbuzi na mbuzi kumkarimu kupindukia, hakika haya ni maajabu ya Wadanganyika! Vyuo vya utarii, weka vizuri mitaala yenu mwaweza kuvuna fedha nyingi kwani kuna maajabu mengi Tanzania inayoweza kuvutia watalii wengi nchini!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jamani jamani jamani.....ni baba yenu huyo angalieni ndimi zenu. Si baba yenu ni mpole? Afu ashawaambia akionyesha meno huelewi yaliyoko ndani ya moyo wake.... sasa ndo anayatoa ya moyoni msiumuke. Anaweka misingi atakayoanzia rais ajaye
 
Sasa unaongelea Dubai! Dubai ni uswahili kama wa kiTZ. Nchi za Mashariki ya Kati si za kutolea mifano!

Je, hayo uliyoyasema yanawezekana US, UK, Scandinavia, Suisse, Deutschland etc.?

Kwa lazima wajue in international currency?!? Hapo ndipo sikuelewi!

Hivi kwenye nchi nilizozitaja hapo hakuna sekta ya utalii?!? Ipo tena kubwa kuliko ya TZ. Lakini, huwezi kukuta ati kwenye mabango au maelezo juu ya fines mbalimbali wameandika foreign currency!

Je, umeshaenda Yellowstone NP na kuona bango linaonyesha fine in British quid? Umeshaenda Rhine Falls ukaona wameonyesha fine in US$?!

Tafadhali aisee...kuruhusu matumizi ya foreign currency katika sekta yoyote ile ndani ya nchi, ni kuua thamani ya home currency. Siyo mchumi, lakini hili halihitaji mtu awe mchumi.
Kufananisha Tanzania, au nchi yeyote ya Africa na nchi za West ni kuanza kujidanganya. Huwezi kutengeneza policy Tanzania based on European reality, since that will be too ambitious and technically impractical. Be realistic and make realistic comments.
Hata geographically, trading partners wetu wapo poor and unstable. We are in one of the poorest trading blocks and we lack technology, we don't build machineries, pharmaceuticals, electronics and we don't have energy. We have to acquire these from very far, under screwed-up terms. I don't think you need a sermon on this so lemme stop here.

Hata hivyo, unaweza kabisa ku-book Yellowstone in Euros, Kronors au Pounds na unaweza ku-book a trip to Venice, London, Paris, Ibiza etc in USD.

Now, speaking of promoting our own currency, there are laws in place. Ila watu huu wapo so negative kiasi kwamba rais akijibu swali kuhusu watu wanaotaka dollars, basi mnaanza kulalamika eti ungesema hayo bungeni ... wtf? Yani mtu ameulizwa swali akawaambia acheni kutumia dola kulipa apartments, mnaanza kuiweka issue in a different perspective.

Watalii kutoka nje wanaleta foreign currencies tunazozihitaji, so they can book in dollars, come over and buy things in shillings. They do that na hilo bango la kugonga nyati, halimaanishi kuwa hawaruhusiwi kulipa in shillings.
 
Ndiye yeye huyu Mkuu aliioponda shilingi yetu, huwezi kumsikia Uhuru Kenyatta anaiponda shilingi ya Kenya.

kumbe BAK yule aliesema kuwa Pesa ya Madafu ni nani? sio huyu huyu JK?? Nimeuliza tu Mkuu no offense intended
 
Nimeipenda sana hii kauli inaweza kabisa kutumika kama kauli mbiu kuelekea October 25, 2015......Nguvu yetu iko kwenye kura zetu tumia hekima na busara kwenye kupiga kura yako.

Nguvu yetu, iko kwenye kura yetu....CHOOSE WISELY!
 
Ndio viongozi wetu....wanakimbilia ku rectify end product wakati wanaacha mzizi living large....viongozi wetu ni kielelezo kinachoprove half of population has below median intelligence...letting fools governing fools,we created our own tragedy,this is beyond madness

This year we will defy the odds!
 
Pesa yako unaidharau halafu unataka watu wako waitumie. Kweli tutashuhudia viroja.

pathetic
Tunachagua kiongozi anaeiangalia Tanzania akiwa nje?
badala ya kuiangalia Dunia akiwa Tanzania
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huo ni mwendelezo wa JK kushindwa katika kila sekta. Inasikitisha sana tulimweka madarakani mtu asiyejua nini hasa anaenda kifanya.

Watanzania tuache ushabiki nafasi nyeti kana "uraisi" inahitaji mtu asiye na chembe ya uchafu wa ufisadi na sio hilo pekee, pia awe na mikakati madhubuti ambayo kweli inatekelezeka na yenye mafunaa kwa watanzania wote sio tu mafisadi na wezi wasio na chembe ya upendo kwa watanzania.
 
Mkuu nashangaa eti malipo ya kisimbuzi wanachaji kwa dola. Mfano azam eti wamepandisha viwango kisa dola imepanda

Dstv au MultiChoice Tanzania monthly subscription fees zao zote ni kwa dola. Watanzania kila wakati bila taarifa tunalipishwa fees hizo kwa dola ingawaje hubadilishwa kwa shilingi! Malipo haya hubadilika kila mara kadiri shilingi inavyoshuka na hii huadhiri watanzania ambao mapato yao hasa mishahara ulipwa kwa shilingi.
 
Hapa panahitaji ufafanuzi kidogo.

Ina maana hawachukui kabisa malipo kwa shilingi au?

wanafix bei kwa dola mfano usd 350 kwa mwezi

mlipa kwa shilingi hapo nyuma angeambiwa alipe 350X1500 =525,000
leo anaambiwa alipe 350X2100=735,000

imagine bei ya bidhaa kubadilika hivi na wewe mshahara haubadiliki- kodi ya nyumba, karo za shule matibabu etc
 
Mkuu mbona umeandika $120 kwa mwezi halafu umetumia $350 kwa mwezi ni aje? Naomba ufafanuzi.

wanafix bei kwa dola mfano usd 120 kwa mwezi

mlipa kwa shilingi hapo nyuma angeambiwa alipe 350X1500 =525,000
leo anaambiwa alipe 350X2100=735,000

imagine bei ya bidhaa kubadilika hivi na wewe mshahara haubadiliki- kodi ya nyumba, karo za shule matibabu etc
 
Kufananisha Tanzania, au nchi yeyote ya Africa na nchi za West ni kuanza kujidanganya. Huwezi kutengeneza policy Tanzania based on European reality, since that will be too ambitious and technically impractical. Be realistic and make realistic comments.
Hata geographically, trading partners wetu wapo poor and unstable. We are in one of the poorest trading blocks and we lack technology, we don't build machineries, pharmaceuticals, electronics and we don't have energy. We have to acquire these from very far, under screwed-up terms. I don't think you need a sermon on this so lemme stop here.

Hata hivyo, unaweza kabisa ku-book Yellowstone in Euros, Kronors au Pounds na unaweza ku-book a trip to Venice, London, Paris, Ibiza etc in USD.

Now, speaking of promoting our own currency, there are laws in place. Ila watu huu wapo so negative kiasi kwamba rais akijibu swali kuhusu watu wanaotaka dollars, basi mnaanza kulalamika eti ungesema hayo bungeni ... wtf? Yani mtu ameulizwa swali akawaambia acheni kutumia dola kulipa apartments, mnaanza kuiweka issue in a different perspective.

Watalii kutoka nje wanaleta foreign currencies tunazozihitaji, so they can book in dollars, come over and buy things in shillings. They do that na hilo bango la kugonga nyati, halimaanishi kuwa hawaruhusiwi kulipa in shillings.

Naona hatuelewani.

Tatizo langu ni matumizi ya US$ ndani ya nchi. Sasa itawezekanaje kweli mtu kutoka Tuvalu afanye booking ya kutembelea TZ kwa TZS??? Au serikali kununua magari Japan kwa TZS?!? Hili lina mbona lipo wazi!!

Sasa unasema kujifananisha na nchi nyingine ni kujidanganyana! Ebooo! Sasa wewe ulivyotoa mfano wa Dubai ulimaanisha nini?!? Vilevile hatuishi katika dunia yetu pekee yetu! Tayari kuna benchmarks (hapa naongelea masuala chanya tu) zimeshakuwa set na mataifa yaliyoendelea. Mataifa kama TZ kazi ni kutumia benchmarks hizo kwa kuziweka katika mazingira ya kikwetu. Marufuku ya matumizi ya foreign currency ndani ya nchi ni moja ya hizo benchmarks. Na wala usitake kujificha nyuma ya mifano isiyoendana na mada.

Matumizi ya US$ katika nchi yetu ni mapana sana kuyazungumzia kwenye sekta ya utalii pekee. Hiyo ni sekta mfano tu. Ila tatizo ni kubwa mno; wadau wamekupa mifano ya TRA kufanya transactions kwa US$ ndani ya nchi. Hata bungeni imesikika mara kwa mara kwa serikali kufanya manunuzi kwa kutumia US$ ndani ya nchi!! Na wengine wanasema bei ya baadhi ya huduma utegemeana exchange rates za US$!!! Sasa hapo ni nini kama siyo 'dollarised' economy!! Yaani eti bei ya apple products UK, itegemee exchange rates baina ya £ na US$?!? Eboo!

Nimekuuliza kuwa kwani kuna shida gani kama bango likiandikwa kwa TZS? Nimekupa mfano wa mabango ya fines Yellowstone ama Rhine Falls, na uniambie kama yameandikwa kwa foreign currency! Unakwepa kujibu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
wanafix bei kwa dola mfano usd 350 kwa mwezi

mlipa kwa shilingi hapo nyuma angeambiwa alipe 350X1500 =525,000
leo anaambiwa alipe 350X2100=735,000

imagine bei ya bidhaa kubadilika hivi na wewe mshahara haubadiliki- kodi ya nyumba, karo za shule matibabu etc


Hii inawaumiza sana watu. Salary iko fixed, kama kipato cha mtu ni 1,000,000/- then malipo ya bidhaa mbalimbali ni kwa dola inaumiza sana.
 
Sasa nimekupata Mkuu, ahsante sana. 😛oa

wanafix bei kwa dola mfano usd 350 kwa mwezi

mlipa kwa shilingi hapo nyuma angeambiwa alipe 350X1500 =525,000
leo anaambiwa alipe 350X2100=735,000

imagine bei ya bidhaa kubadilika hivi na wewe mshahara haubadiliki- kodi ya nyumba, karo za shule matibabu etc
 
Naona hatuelewani.

Tatizo langu ni matumizi ya US$ ndani ya nchi. Sasa itawezekanaje kweli mtu kutoka Tuvalu afanye booking ya kutembelea TZ kwa TZS??? Au serikali kununua magari Japan kwa TZS?!? Hili lina mbona lipo wazi!!

Sasa unasema kujifananisha na nchi nyingine ni kujidanganyana! Ebooo! Sasa wewe ulivyotoa mfano wa Dubai ulimaanisha nini?!? Vilevile hatuishi katika dunia yetu pekee yetu! Tayari kuna benchmarks (hapa naongelea masuala chanya tu) zimeshakuwa set na mataifa yaliyoendelea. Mataifa kama TZ kazi ni kutumia benchmarks hizo kwa kuziweka katika mazingira ya kikwetu. Marufuku ya matumizi ya foreign currency ndani ya nchi ni moja ya hizo benchmarks. Na wala usitake kujificha nyuma ya mifano isiyoendana na mada.

Matumizi ya US$ katika nchi yetu ni mapana sana kuyazungumzia kwenye sekta ya utalii pekee. Hiyo ni sekta mfano tu. Ila tatizo ni kubwa mno; wadau wamekupa mifano ya TRA kufanya transactions kwa US$ ndani ya nchi. Hata bungeni imesikika mara kwa mara kwa serikali kufanya manunuzi kwa kutumia US$ ndani ya nchi!! Na wengine wanasema bei ya baadhi ya huduma utegemeana exchange rates za US$!!! Sasa hapo ni nini kama siyo 'dollarised' economy!! Yaani eti bei ya apple products UK, itegemee exchange rates baina ya £ na US$?!? Eboo!

Nimekuuliza kuwa kwani kuna shida gani kama bango likiandikwa kwa TZS? Nimekupa mfano wa mabango ya fines Yellowstone ama Rhine Falls, na uniambie kama yameandikwa kwa foreign currency! Unakwepa kujibu.
Mtu yeyote anayetumia dollars kulipia pango la nyumba, kulipia restaurants au huduma nyingine Tanzania, anavunja sheria ya nchi. Kwani hilo hulijui? Na lini kuna mtu aliruhusiwa kupangisha nyumba kwa dola?
Kama hakuruhusiwa mtu yeyote kufanya transactions kwa kutumia dollars, na bado watu wanafanya hizo transactions wewe ulitaka rais aseme nini? Aseme tumieni tu au.
Transactions za vibali vya Oil rigs vinaweza kulipiwa kwa dollars, hapo sioni tatizo lolote, lakini haimaanishi kuwa haviwezi kulipiwa kwa shillings. Tanzania hamna Oil rigs za explorations, hizo ni very expensive kwa hiyo oil exploration yeyote ile lazima itakuwa na mkono wa kampuni ya nje hata kama itapewa jina la Simba explorers.

Ngoja nikupe maelezo ya dollarization in another perspective. Watanzania hawana dollars, dollars zinatoka nje na either zinaweza kumilikiwa na Benki kuu na kununuliwa kwa kibali maalum au zinaweza kumilikiwa na watu binafsi na kununuliwa bila masharti yeyote.
Dollar imepanda kulinganisha hata na Euro na hilo si kosa la mtu yeyote. Kosa ni pale ambapo watu binafsi wanahodhi dollars kwa wingi kuliko benki kuu. Matokeo yake ni hoarding ili kupata faida kubwa. Kama demand ya dolars ikiwa kubwa, basi thamani yake itaongezeka. Dollars haziingii benki kuu kama zinavyotoka na sababu mojawapo ni matumizi ya dola kwenye kulipia transactions za ndani zisizohitaji dollars na hilo ni kosa letu sisi watanzania kwa ujumla, tusipende kulaumu mtu yeyote. Hata baadhi ya Clubs na hotels zinazomilikiwa na wanasiasa wa upinzani zinatoza dollars.
Foreigners wakilipa dollars kwenye taasisi za serikali kuna ubaya gani wakati hela hizo zitaishia BoT? Tatizo ni forex kutoishia BoT, na kufanya watu binafsi wazibanie.

Mwisho kabisa, tarehe 20 Juni mwaka jana Euro ilikuwa 2300 na sasa hivi leo Euro ni 2300. Dola ilikuwa 1600 sasa hivi 2300. Why don't we stick to Euros kama tunataka ku=order hizo Aple products unazosema bei yake Europe ni ileile?Do you really get my fvckin points au tunapotezeana muda?
 
Mtu yeyote anayetumia dollars kulipia pango la nyumba, kulipia restaurants au huduma nyingine Tanzania, anavunja sheria ya nchi. Kwani hilo hulijui? .............
................Dollar imepanda kulinganisha hata na Euro na hilo si kosa la mtu yeyote. Kosa ni pale ambapo watu binafsi wanahodhi dollars kwa wingi kuliko benki kuu. Matokeo yake ni hoarding ili kupata faida kubwa. Kama demand ya dolars ikiwa kubwa, basi thamani yake itaongezeka. Dollars haziingii benki kuu kama zinavyotoka na sababu mojawapo ni matumizi ya dola kwenye kulipia transactions za ndani zisizohitaji dollars na hilo ni kosa letu sisi watanzania kwa ujumla, tusipende kulaumu mtu yeyote. Hata baadhi ya Clubs na hotels zinazomilikiwa na wanasiasa wa upinzani zinatoza dollars.
Foreigners wakilipa dollars kwenye taasisi za serikali kuna ubaya gani wakati hela hizo zitaishia BoT? Tatizo ni forex kutoishia BoT, na kufanya watu binafsi wazibanie.

Mwisho kabisa, tarehe 20 Juni mwaka jana Euro ilikuwa 2300 na sasa hivi leo Euro ni 2300. Dola ilikuwa 1600 sasa hivi 2300. Why don't we stick to Euros kama tunataka ku=order hizo Aple products unazosema bei yake Europe ni ileile?Do you really get my fvckin points au tunapotezeana muda?

ndio tunashangaa dalili za enforcement ya mapendekezo mazuri kama yako yanachukuliwa sasa hivi na kiongozi wetu mkuu, wewe hushangai?
alikuwa ameappoint watu wengi tu miaka hii 10 hawakusimamia na yeye hakujali au hakujua au ......
 
Back
Top Bottom