Mtu yeyote anayetumia dollars kulipia pango la nyumba, kulipia restaurants au huduma nyingine Tanzania, anavunja sheria ya nchi. Kwani hilo hulijui? Na lini kuna mtu aliruhusiwa kupangisha nyumba kwa dola?
Kama hakuruhusiwa mtu yeyote kufanya transactions kwa kutumia dollars, na bado watu wanafanya hizo transactions wewe ulitaka rais aseme nini? Aseme tumieni tu au.
Sasa kuna haja gani ya kuwa na serikali?! Kama haya mambo yanafanyika na serikali inafahamu, kisha inakaa kimya, basi kumbe hakuna haja ya kuwa na serikali! Anyway kwa kuwa ni serikali ya wapigaji, mambo shikide tu!
Kuweka rekodi sawa, mimi wala sijataka rais aseme kitu! Kwa sababu sitegemei kusikia la maana kutoka kwake, na wala siwezi kupoteza sekunde ya muda muda kumtaka aseme kitu. Bwana Mnyika alishafunga mjadala kuhusu bosi wako..
Transactions za vibali vya Oil rigs vinaweza kulipiwa kwa dollars, hapo sioni tatizo lolote, lakini haimaanishi kuwa haviwezi kulipiwa kwa shillings. Tanzania hamna Oil rigs za explorations, hizo ni very expensive kwa hiyo oil exploration yeyote ile lazima itakuwa na mkono wa kampuni ya nje hata kama itapewa jina la Simba explorers.
Sielewi ulichotaka kukisema hapa. Mara umesema "transactions za vibali vya oil rigs vinaweza kulipiwa kwa dollars.." Mara tena, "Tanzania hamna oil rigs za explorations..."
Anyway, ngoja nifanye kama nimekuelewa logic yako. Oil rigs ama explorations kuwa na mkono wa kampuni ya nje, haina maana hizo kampuni zinapaswa kuoperate nje ya sheria za nchi! Sheria za nchi haziruhusu malipo kufanyika ndani nchi kwa currency tofauti zaidi ya TZS. Ila kwa serikali hii ya wapigaji, mambo mukude tu!
Ngoja nikupe maelezo ya dollarization in another perspective. Watanzania hawana dollars, dollars zinatoka nje na either zinaweza kumilikiwa na Benki kuu na kununuliwa kwa kibali maalum au zinaweza kumilikiwa na watu binafsi na kununuliwa bila masharti yeyote.
Duh! Sasa hao watu binafsi wanaoweza kumiliki ni raia wa nchi gani?!? Pia ulichokisema mbona kipo wazi! Dollars si currency ya TZ, hivyo lazima dollars zitoke nje! Is this all you got? And you call this "dollarization in another perspective"
Dollar imepanda kulinganisha hata na Euro na hilo si kosa la mtu yeyote. Kosa ni pale ambapo watu binafsi wanahodhi dollars kwa wingi kuliko benki kuu. Matokeo yake ni hoarding ili kupata faida kubwa. Kama demand ya dolars ikiwa kubwa, basi thamani yake itaongezeka. Dollars haziingii benki kuu kama zinavyotoka na sababu mojawapo ni matumizi ya dola kwenye kulipia transactions za ndani zisizohitaji dollars na hilo ni kosa letu sisi watanzania kwa ujumla, tusipende kulaumu mtu yeyote.
Hivi arifu unatambua unachokiandika lakini? Sasa kama ndivyo, nini maana ya kuwa na serikali??? Kwa hiyo kama ni kosa letu watanzania, kurekebisha ni mpaka pale watanzania watakapoamua kuingiza dollars benki kuu na kuacha kufanya malipo ya ndani kwa dollars?!!? Sasa kama ndivyo, kumbe tunapoteza pesa kufanya uchaguzi wa kuunda serikali kila baada ya miaka mitano, wakati waTZ wanaweza kujiongoza wenyewe na kufanya yale wanayoona yanafaa?!?!?
Hata baadhi ya Clubs na hotels zinazomilikiwa na wanasiasa wa upinzani zinatoza dollars.
Doh! Aisee wewe arifu kumbe ni mweupe hivi?!?
Kwa hiyo hili ni kosa la nani? Nini maana ya kuwepo sheria? Mbona polisi wana usemi tia sheria bila shuruti?! Ina maana usipotii utapata shuruti. Sasa serikali inasubiri nini kuwapa shuruti wasiotii sheria? Kwa hiyo kama wanasiasa wa upinzani wanavunja sheria, basi uvunjifu wa sheria unakuwa legitimised ama?
Foreigners wakilipa dollars kwenye taasisi za serikali kuna ubaya gani wakati hela hizo zitaishia BoT? Tatizo ni forex kutoishia BoT, na kufanya watu binafsi wazibanie.
Mh! Kazi ipo. Hivi umesoma kweli nilichokisema?!? Ebu karudie tena kusoma chifu.
Hata kama hukuelewa, sasa kusema kuwa hakuna shida kama wageni wakifanya malipo kwa taasisi za serikali ndani ya nchi, basi naona tunapotezeana muda kama ulivyosema hapa chini....
Mwisho kabisa, tarehe 20 Juni mwaka jana Euro ilikuwa 2300 na sasa hivi leo Euro ni 2300. Dola ilikuwa 1600 sasa hivi 2300. Why don't we stick to Euros kama tunataka ku=order hizo Aple products unazosema bei yake Europe ni ileile?Do you really get my fvckin points au tunapotezeana muda?
Doh! Naona kweli tunapotezeana muda tu arifu...maana kama umeshindwa hata kutambua tofauti ya currency signs za British Pound (£) na Euro (), hakika tunapotezeana muda. Toka lini UK wanatumia kama currency yao?!?
I surrender....maana hapa hakuna mjadala, zaidi ya kupotezeana muda kama ulivyosema...