Am I reading this right, please fellow wananchi help me understand this... the President has warned? Is this a joke? Je ameonya au ameagiza? Watu wanavunja sheria na hawakuanza leo na licha ya malalamiko ya siku nyingi Raisi analalama na kuonya. Au ndio yale yale? Nakumbuka aliwahi kuwaomba wezi warudishe walichoiba!
Bila aibu leo tena anawaonya wahalifu eti wafuate sheria, uhalifu unaofanyika mchana kweupee na wazi wazi bila kificho. Mtu aliyeapa kuilinda na kuitetea Katiba akiwa ameshika msahafu mkononi! Hata hivyo hakuna cha ajabu hapa, pamoja na upuuzi wote huu bado eti anaungwa mkono na asilimia kubwa ya Watanzania.
Kikwete anajua Mtanzania wa kawaida hawezi kuhusika na madudu kama haya, wahusika ni rafiki zake, ndugu zake na washikaji wake wanaoendelea kubaki kwenye nyadhifa zao kwa sababu anawapenda, anawatetea na anawalinda. Ni kama vile kwa hii miezi mitano iliyobaki ameamua kufanya juu chini kulihujumu taifa.
Je malengo ya kiongozi wetu huyu ni nini? Nisaidieni jamani!
Mkuu hawa hata hawachaguliwi wanaiba kura, wananunua urais kwa kutoa rushwa za mabilioni ya kifisadi. Wenyewe hawana hata woga wala aibu jinsi wanavyoiangamiza nchi kwa maamuzi yao mbali mbali ambayo hayajali kabisa maslahi ya Tanzania na Watanzania. Angalia kwa mfano hili zoezi la kuwaandikisha wapiga kura jinsi lilivyojaa uhuni wa hali ya juu kila kona nchini. Watanzania wanapiga kelele chungu nzima kuhusu mashine za BVR zinavyokwamisha Watanzania kujiandikisha lakini wahusika wa kurekebisha hali hii wameamua kupiga kimya kama vile hawahusiki.
Mkuu wangu MANI, hii ni issue serious...leo hii dola imefikia 2300 wakati juzi tu, miezi miwili iliyopita, ilikuwa ni 1700! Wanaochaji malipo kwa dola ni wahujumu uchumi, period. Hawa watu wanajulikana na kama ni mashirika yanajulikana na stakabadhi zipo, kwa nini asiagize wakamatwe na kufunguliwa mashtaka? Najua Kiongozi Mkuu wa serikali aliwahi kusema wahalifu wana nguvu kiasi wakikamatwa taifa litayumba! Ona sasa, mambo yale yalee! Walinda sheria na wavunja sheria wameamua kuweka nguvu ya pamoja kulihujumu taifa na wanachi tupo, tunaangalia taifa likiteketea...kama si hujuma ni nini?Mkuu he has issue an order but believe me nothing will change.
Mkuu wangu MANI, hii ni issue serious...leo hii dola imefikia 2300 wakati juzi tu, miezi miwili iliyopita, ilikuwa ni 1700! Wanaochaji malipo kwa dola ni wahujumu uchumi, period. Hawa watu wanajulikana na kama ni mashirika yanajulikana na stakabadhi zipo, kwa nini asiagize wakamatwe na kufunguliwa mashtaka? Najua Kiongozi Mkuu wa serikali aliwahi kusema wahalifu wana nguvu kiasi wakikamatwa taifa litayumba! Ona sasa, mambo yale yalee! Walinda sheria na wavunja sheria wameamua kuweka nguvu ya pamoja kulihujumu taifa na wanachi tupo, tunaangalia taifa likiteketea...kama si hujuma ni nini?
Linchi la kijinga kweli hili.
Umeona wapi eti hata kodi za pango la nyumba sehemu kama Sinza au Kurasini zinalipwa kwa dola?
Nchi ikiwa imejaa watu wajinga na wapumbavu kuliko ilivyo kawaida kupata maendeleo ni ndoto!
Hebu fikiria scenario hii, unaamka asubuhi unakuta heading hii kwenye magazeti, Raisi Kikwete awasimamisha kazi Waziri wa Fedha na Gavana wa Benki Kuu... ha ha haa, nilikuwa naota tu.Hahaha i knew he had a great sense of humour but this is the best ever. Wenzie wana sheria yeye anatoa 'warning'. Shkamoo jk
Hebu fikiria scenario hii, unaamka asubuhi unakuta heading hii kwenye magazeti, Raisi Kikwete awasimamisha kazi Waziri wa Fedha na Gavana wa Benki Kuu... ha ha haa, nilikuwa naota tu.
Vuta blanket ndugu
Kodi zenyewe halafu hazina regulator watu wanajipangia tu bei watakavyo halafu wanalazimisha ulipe kwa mwaka!
Mkuu wangu MANI, hii ni issue serious...leo hii dola imefikia 2300 wakati juzi tu, miezi miwili iliyopita, ilikuwa ni 1700! Wanaochaji malipo kwa dola ni wahujumu uchumi, period. Hawa watu wanajulikana na kama ni mashirika yanajulikana na stakabadhi zipo, kwa nini asiagize wakamatwe na kufunguliwa mashtaka? Najua Kiongozi Mkuu wa serikali aliwahi kusema wahalifu wana nguvu kiasi wakikamatwa taifa litayumba! Ona sasa, mambo yale yalee! Walinda sheria na wavunja sheria wameamua kuweka nguvu ya pamoja kulihujumu taifa na wanachi tupo, tunaangalia taifa likiteketea...kama si hujuma ni nini?
Sheria si zipo?, Mapolisi wapo na wanaolipa ni wananchi kama mimi na wewe. Sasa kwanini wasikamatwe au tunategemea nani awakamate?