Ila chawa, hata kama unalipwa ila mengine inabidi uwe kama kichaa au TlaatlaahVijana wengi waliingia kwenye siasa kipindi cha huyu mzee JK ameshika mkono vijana wengi. Hata huyu Polepole anayewepa furaha sasa hivi kamtengeneza JK Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni.
Kweli tumpe haki yake halafu tumnyonge.Vijana wengi waliingia kwenye siasa kipindi cha huyu mzee JK ameshika mkono vijana wengi. Hata huyu Polepole anayewepa furaha sasa hivi kamtengeneza JK Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni.
Kwahiyo kwasababu alisaidia vijana wengi kuingia kwenye siasa mtandao wake wa kifisadi usizungumziwe!?.., nyie ndo type ya watu 2005 mlikuwa wafuasi wa JK kama mgombea wa CCM kisa handsome. Sometimes waweza kuhisi akili za baadhi ya watanzania zipo matakoni.Vijana wengi waliingia kwenye siasa kipindi cha huyu mzee JK ameshika mkono vijana wengi. Hata huyu Polepole anayewepa furaha sasa hivi kamtengeneza JK Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni.
JK ni mtu humble sana katengeneza vijana wengi ila mazuri yake hawayasemiKweli kabisa, JK anaazijua siasa za bongo, ila Pole Pole anayosema ni kweli ama si kweli, mzee wetu ikimpendeza Afanye Press kwake maoga tumjue mchawi ni nano
Watanzania tumekua na tabia ya kuona Mabaya tu ya watu hata Wewe una mabaya yako na mazuriKwahiyo kwasababu alisaidia vijana wengi kuingia kwenye siasa mtandao wake wa kifisadi usizungumziwe!?.., nyie ndo type ya watu 2005 mlikuwa wafuasi wa JK kama mgombea wa CCM kisa handsome. Sometimes waweza kuhisi akili za baadhi ya watanzania zipo matakoni.
Huna haja ya kumpinga. Kasema tumpe haki yake ya kusaidia vijana halafu tumnyonge kutokana na mtandao wa ufisadi wake. Mimi namuunga mkonoKwahiyo kwasababu alisaidia vijana wengi kuingia kwenye siasa mtandao wake wa kifisadi usizungumziwe!?.., nyie ndo type ya watu 2005 mlikuwa wafuasi wa JK kama mgombea wa CCM kisa handsome. Sometimes waweza kuhisi akili za baadhi ya watanzania zipo matakoni.
Bilionea jkVijana wengi waliingia kwenye siasa kipindi cha huyu mzee JK ameshika mkono vijana wengi. Hata huyu Polepole anayewepa furaha sasa hivi kamtengeneza JK Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni.
Kila mtu ana mabaya na mazuri JK katengeneza vijana wengi sana. Kwenye vijana aliowatengeza kuna wazuri na wabaya ndo points yangu ni mzee Humble sanaHuyo mzee ni zungu la roho.
Chuki dhidi yake ni kwa sababu kabarikiwa. Na mti wenye matunda ndo hupopolewa mawe.
😀😆😁😄 2005 nilikuwa bado mdogo kujielewa kupiga kura so kuna watu walimpigia kura kikwete kisa handsomeKwahiyo kwasababu alisaidia vijana wengi kuingia kwenye siasa mtandao wake wa kifisadi usizungumziwe!?.., nyie ndo type ya watu 2005 mlikuwa wafuasi wa JK kama mgombea wa CCM kisa handsome. Sometimes waweza kuhisi akili za baadhi ya watanzania zipo matakoni.
Na yeye katengenezwa na nani? Kwamba kwakuwa katengeneza watu basi ndiyo ASHIRIKI KUUA WENZIWE Kama alivyomua MAGUFULI?Vijana wengi waliingia kwenye siasa kipindi cha huyu mzee JK ameshika mkono vijana wengi. Hata huyu Polepole anayewepa furaha sasa hivi kamtengeneza JK Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni.
😂😂😂😂 Na jamaa wamegundua hyo weakness kitambo sana ingawa sahv kiasi flani watz wameamkaKwahiyo kwasababu alisaidia vijana wengi kuingia kwenye siasa mtandao wake wa kifisadi usizungumziwe!?.., nyie ndo type ya watu 2005 mlikuwa wafuasi wa JK kama mgombea wa CCM kisa handsome. Sometimes waweza kuhisi akili za baadhi ya watanzania zipo matakoni.