Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Kwa mujibu wa hii speech (eulology) aliyoitoa JK kwenye msiba wa BWM, imetusaidia kujua Mkapa alikuwa ni mtu wa namna gani. Licha ya kufanya mambo makubwa katika nchi lakini hakutumia kabisa vyombo vya habari vya Taifa kujipigia mapromo kama tunavyoona kwenye utawala wa sasa.
Ifahamike Mkapa ndiye rais wa kwanza aliyekataa title ya "Mtukufu"
Na ni rais wa kwanza wa nchi yetu aliyekataa picha yake kukaa kwenye fedha
Huyo ndiye rais aliyekuwa hapigi mayowe, bali aliacha watu waone wenyewe.
Na kweli mwanaume yule alipiga kazi ya maana kwa nchi.
Namkumbusha rais wa sasa na wapambe wao, chema chajiuza kibaya chajitembeza, acheni kupiga mayowe, tuacheni tuone wenyewe.
"Na hiyo ndo tatizo la kustukizwa"
Video hapa chini:
Ifahamike Mkapa ndiye rais wa kwanza aliyekataa title ya "Mtukufu"
Na ni rais wa kwanza wa nchi yetu aliyekataa picha yake kukaa kwenye fedha
Huyo ndiye rais aliyekuwa hapigi mayowe, bali aliacha watu waone wenyewe.
Na kweli mwanaume yule alipiga kazi ya maana kwa nchi.
Namkumbusha rais wa sasa na wapambe wao, chema chajiuza kibaya chajitembeza, acheni kupiga mayowe, tuacheni tuone wenyewe.
"Na hiyo ndo tatizo la kustukizwa"
Video hapa chini: