Pamoja na Sera za msomi Dr. Slaa kuwa nzuri na Mkwere Kikwete kuzikubali, atakuwa na ubavu wa kujitenga na mafisadi na kuteuwa baraza dogo la mawaiziri pamoja na speaker wa bunge ambaye si fisadi? Wanajamii mmelisikia hilo kupitia vyombo vya habari vya chama cha majambazi? Na je Kikwete anaweza kujitenga na ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma?