johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Jaji Tiganga amekubaliana na wakili msomi Kibatala kwamba sababu alizotoa Wakili wa Serikali kuwa shahidi Jumanne ameshindwa kuja mahakamani kutokana na kuwa na dharura ni nyepesi sana.
Jaji Tiganga alikuwa mkali na kumtaka shahidi huyo afande Jumanne kuleta mahakamani uthibitisho wa dharura aliyoipata hapo kesho.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama
Jaji Tiganga alikuwa mkali na kumtaka shahidi huyo afande Jumanne kuleta mahakamani uthibitisho wa dharura aliyoipata hapo kesho.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama