Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Mzee huyu haogopi ni kaiva kweli kweli ingekuwa kwenye field zetu kule angekuwa 5 Star GeneralMzee wangu Samatha mimi nakupenda sana na umeongea ukweli mtupu. Lakini nadhani huu ujumbe wako utakufanya ujenge uadui na watawala wa nchi hii.
ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½
Mfano tuchukulie kabla hajawa raisi alifanya ufisadi kama kuuza mali ya serikali kama Majengo na ikadhibitika kweli ulikuwa ufisadi...vp anaweza kushitakiwa?Yuko sahihi Kwenye kuzungumza lakin hayatekelezeki Kwenye Uwanja wa kisheria
Uzi unaotenganisha hayo mambo Mawili ni mwembamba sana
Huo Ufisadi ili aweze kufanya unakuwa Kwenye Wajibu wake wa Urais
Mf. Rais anaweza kusema Tufanye Mradi Fulani let say Ujenzi wa Mradi wa Ununuzi wa Jengo Yeye akaishia hapo
Lakin akatoa Maelekezo Kama Rais nini Cha kufanya
Rejea Sakata la Ununuzi wa Jengo la Ubalozi wa Tanzania Nchini Italy wakati wa Ubalozi wa Prof Mahalu
Mzee Benjamin Mkapa alifika Mahakamani akasema Ni Yeye ndio aliamuru ifanyike 'Single source' Kwenye mchakato wa Ununuzi akaulizwa Na Wakili wa Serikal wapi aliandika akajibu Maelekezo ya Rais sio lazima yawe kimaandishi anamaliza ushahdi huku anacheka kwa dharau Mahakamani
Tukumbuke Ufisadi huwa unafanyika kwa umakini Sana Hata asie Rais kumtia hatiani sio jambo dogo
Rais fisadi tusidhan anapiga Simu kwa Governor Na kuelekeza awekewe Fedha Kwenye Account Fulani, ingekuwa hivyo ingekuwa Rahisi Sana kumtia hatiani
Mahakama itaamua, sio wewe.Yuko sahihi Kwenye kuzungumza lakin hayatekelezeki Kwenye Uwanja wa kisheria
Uzi unaotenganisha hayo mambo Mawili ni mwembamba sana
Huo Ufisadi ili aweze kufanya unakuwa Kwenye Wajibu wake wa Urais
Mf. Rais anaweza kusema Tufanye Mradi Fulani let say Ujenzi wa Mradi wa Ununuzi wa Jengo Yeye akaishia hapo
Lakin akatoa Maelekezo Kama Rais nini Cha kufanya
Rejea Sakata la Ununuzi wa Jengo la Ubalozi wa Tanzania Nchini Italy wakati wa Ubalozi wa Prof Mahalu
Mzee Benjamin Mkapa alifika Mahakamani akasema Ni Yeye ndio aliamuru ifanyike 'Single source' Kwenye mchakato wa Ununuzi akaulizwa Na Wakili wa Serikal wapi aliandika akajibu Maelekezo ya Rais sio lazima yawe kimaandishi anamaliza ushahdi huku anacheka kwa dharau Mahakamani
Tukumbuke Ufisadi huwa unafanyika kwa umakini Sana Hata asie Rais kumtia hatiani sio jambo dogo
Rais fisadi tusidhan anapiga Simu kwa Governor Na kuelekeza awekewe Fedha Kwenye Account Fulani, ingekuwa hivyo ingekuwa Rahisi Sana kumtia hatiani
Kumbe ndio maana jiwe kajaza wasukuma ili asishitakiwe kwa uovu wakeRAIS MSTAAFU ANAWEZA KUFUNGULIWA MASHTAKA NA OFISI YA DPP
-
Haya yameelezwa na Jaji Mkuu Mstaafu, Barnabas Samatta katika Mjadala wa Uwajibikaji uliandaliwa na Taasisi ya Uwajibikaji iitwayo Wajibu katika Chuo cha Sheria Tanzania(Law School of Tanzania) Jijini Dar es Salaam
-
Jaji Samatta amefafanua kuwa Rais mstaafu ana kinga lakini ina mipaka. Kinga haihusu mambo aliyofanya akiwa Rais bali yale aliyofanya kama Rais
-
Ametoa mfano kuwa endapo Rais akifanya vitendo vya kifisadi atakuwa amefanya akiwa Rais kwani kama Rais huwezi kuwa fisadi au kushiriki ufisadi.
-
Ameyaeleza haya akiwa anasisitiza uhuru wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) kuwa haipaswi kuingiliwa kwa vyovyote vile
-
Amesema DPP hawajibiki kwa Rais, Waziri Mkuu, Bunge wala Mahakama na si sawa Serikali kuingilia utendaji wake kwani inaweza pelekea kulinda maslahi ya viongozi waovu
-
Aliongezea kuwa anazungumza hayo kwa kuwa ana uzoefu wa kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka kuanzia 1972 hadi 1976
#JFLeo
Chanzo: Ukurasa wa Instagram wa JamiiForums
Nakwambia ukweli kabisa, Mzee Samatha ni moja ya majaji wa kipekee sana Tanzania. Lakini sidhani kama huu ujumbe wake utapokelewa vizuri na watawala.
Jaji Warioba alipoonyesha nia ya kuwasaidia watanzania wa vizazi vijavyo alipogwa kibao na Paul Makonda. Sasa unategema Samatha atapona.
Mzee huyu haogopi ni kaiva kweli kweli ingekuwa kwenye field zetu kule angekuwa 5 Star General
Hababaishwi unakumbuka kikao cha Ikulu Magufuli alipoita wazee ?
Samatta kama kawaida alisimamia ukweli na bila kuogopa chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama itaamua, sio wewe.
Mzee huyu haogopi ni kaiva kweli kweli ingekuwa kwenye field zetu kule angekuwa 5 Star General
Hababaishwi unakumbuka kikao cha Ikulu Magufuli alipoita wazee ?
Samatta kama kawaida alisimamia ukweli na bila kuogopa chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani tungekuwa na mijadala ya hoja kama hivi bila kupigana risasi, kutekana na kutishianaKizazi hiki hakina watu wa level ile
Kwanza Majaji wengi wa zamani walikuwa Na Vitabu vya kisheria walivyotunga Na nilikuwa nondo Kweli Kweli Na unavikuta mpaka Kwenye Maktaba Kubwa Duniani
Mf Hayati Judge Nixon Chipeta
Natamani tungekuwa na mijadala ya hoja kama hivi bila kupigana risasi, kutekana na kutishiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano tuchukulie kabla hajawa raisi alifanya ufisadi kama kuuza mali ya serikali kama Majengo na ikadhibitika kweli ulikuwa ufisadi...vp anaweza kushitakiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina Samatta wanaongea haya baada ya kustaafu
Ndomana mnambiwa inahitajika katiba mpyaYuko sahihi Kwenye kuzungumza lakin hayatekelezeki Kwenye Uwanja wa kisheria
Uzi unaotenganisha hayo mambo Mawili ni mwembamba sana
Huo Ufisadi ili aweze kufanya unakuwa Kwenye Wajibu wake wa Urais
Mf. Rais anaweza kusema Tufanye Mradi Fulani let say Ujenzi wa Mradi wa Ununuzi wa Jengo Yeye akaishia hapo
Lakin akatoa Maelekezo Kama Rais nini Cha kufanya
Rejea Sakata la Ununuzi wa Jengo la Ubalozi wa Tanzania Nchini Italy wakati wa Ubalozi wa Prof Mahalu
Mzee Benjamin Mkapa alifika Mahakamani akasema Ni Yeye ndio aliamuru ifanyike 'Single source' Kwenye mchakato wa Ununuzi akaulizwa Na Wakili wa Serikal wapi aliandika akajibu Maelekezo ya Rais sio lazima yawe kimaandishi anamaliza ushahdi huku anacheka kwa dharau Mahakamani
Tukumbuke Ufisadi huwa unafanyika kwa umakini Sana Hata asie Rais kumtia hatiani sio jambo dogo
Rais fisadi tusidhan anapiga Simu kwa Governor Na kuelekeza awekewe Fedha Kwenye Account Fulani, ingekuwa hivyo ingekuwa Rahisi Sana kumtia hatiani
Ushauri wako upi,tuweke uvyama pembeniKenya tayari wana Katiba Mpya lakin Matatizo hayajaisha
Kabla ya uhuru Kila kitu walikuwa wanasema ndio sababu tunataka uhuru wakadhan Kila kitu kitakuwa solved kwa kupata uhuru
Tupunguze Kuwa Na 'over expectations'
Hivi matamshi ya Jiwe kabla ya Lisu kupigwa risasi na vitendo vyake dhidi yake kwenye matibabu haviwezi kumtia hatiani kweli akistaafu!!!?Raisi akitoa amri mtu adedishwe kinyume cha sheria hana kinga hapo, msala anao watu wakiamua kukomaa nae baada ya kustaafu