Jaji Samatta: Rais hana kinga kwa mambo aliyoyafanya akiwa Rais bali yale aliyoyafanya kama Rais

Mzee wangu Samatha mimi nakupenda sana na umeongea ukweli mtupu. Lakini nadhani huu ujumbe wako utakufanya ujenge uadui na watawala wa nchi hii.
Mzee huyu haogopi ni kaiva kweli kweli ingekuwa kwenye field zetu kule angekuwa 5 Star General

Hababaishwi unakumbuka kikao cha Ikulu Magufuli alipoita wazee ?

Samatta kama kawaida alisimamia ukweli na bila kuogopa chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ‘πŸ½

Nakwambia ukweli kabisa, Mzee Samatha ni moja ya majaji wa kipekee sana Tanzania. Lakini sidhani kama huu ujumbe wake utapokelewa vizuri na watawala.

Jaji Warioba alipoonyesha nia ya kuwasaidia watanzania wa vizazi vijavyo alipigwa kibao na Paul Makonda. Sasa unategema Samatha atapona ??
 
Mfano tuchukulie kabla hajawa raisi alifanya ufisadi kama kuuza mali ya serikali kama Majengo na ikadhibitika kweli ulikuwa ufisadi...vp anaweza kushitakiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama itaamua, sio wewe.
 
Mf Hayati Judge Nixon Chipeta[/QUOTE]
Aliitwa Buxton David Chipeta. Sio Nixon.
Nimeishi naye kama jirani akiwa Mahakama Kuu Tabora (akiwa na akina Marando, Mushi na Rubama).
Hawa, pamoja na akina Katiti, Rugakingira, etc walikuwa very seroius na kazi yao....no wonder walikuwa wa kuhesabu.
 
Kumbe ndio maana jiwe kajaza wasukuma ili asishitakiwe kwa uovu wake
 
We’re on the same page Mkuu. I wish we had more people like him in our beautiful country to tell the TRUTH and nothing but THE WHOLE TRUTH.


 

Hata Jaji Warioba naye ameiva sana lakini alipigwa kibao na Paulo Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam. Ule ulikuwa ni utawala wa JK, unadhani kwenye utawala huu atapona kweli ???

No body is safe hapa Tanzania kwasasa...
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½ kabisa Mkuu halafu wastaafu wengine wakaishia kufanya UNAFIKI wao.


 
Kizazi hiki hakina watu wa level ile

Kwanza Majaji wengi wa zamani walikuwa Na Vitabu vya kisheria walivyotunga Na nilikuwa nondo Kweli Kweli Na unavikuta mpaka Kwenye Maktaba Kubwa Duniani

Mf Hayati Judge Nixon Chipeta
Natamani tungekuwa na mijadala ya hoja kama hivi bila kupigana risasi, kutekana na kutishiana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano tuchukulie kabla hajawa raisi alifanya ufisadi kama kuuza mali ya serikali kama Majengo na ikadhibitika kweli ulikuwa ufisadi...vp anaweza kushitakiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo anashtakiwa bila ya Shida yeyote

Changamoto ipo Kwenye kuamua kosa lipi kafanya akiwa Rais Na lipi kafanya Kama Rais!

Sio Kazi nyepesi ila ninachojua Mara nyingi wanaoumia Ni Wasaidizi wa Rais ambao wao hawana Kinga Na Mara nyingi Maelekezo huwa wanapewa kwa Mdomo hivyo Ni Rahisi Mtawala akakuruka

Mf imekuja kandarasi ya Ujenzi wa Barabara anakuitia ofisin anakukutanisha Na Mkandarasi anakwambia 'angalia namna ya kumsaidia huyu'
Hapo kamaliza sasa Wewe unaenda kufanya juu chini mpaka unampa yule Kandarasi likija kubutuka Kuwa Mchakato umekiukwa unakaangwa Wewe sio yule aliekupa Maelekezo ya Mdomo
 
Ndomana mnambiwa inahitajika katiba mpya

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya tayari wana Katiba Mpya lakin Matatizo hayajaisha

Kabla ya uhuru Kila kitu walikuwa wanasema ndio sababu tunataka uhuru wakadhan Kila kitu kitakuwa solved kwa kupata uhuru

Tupunguze Kuwa Na 'over expectations'
Ushauri wako upi,tuweke uvyama pembeni

Ova


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…