Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,606
Mzee huyu haogopi ni kaiva kweli kweli ingekuwa kwenye field zetu kule angekuwa 5 Star GeneralMzee wangu Samatha mimi nakupenda sana na umeongea ukweli mtupu. Lakini nadhani huu ujumbe wako utakufanya ujenge uadui na watawala wa nchi hii.
Hababaishwi unakumbuka kikao cha Ikulu Magufuli alipoita wazee ?
Samatta kama kawaida alisimamia ukweli na bila kuogopa chochote
Sent using Jamii Forums mobile app