ngudengude
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,175
- 466
Lowasa hasafishiki hata kwa fagio la chuma, kachafuka mnoo, ni mtu wa propaganda tu hana lolote, Magufuli oyeee
CCM imemdhalilisha sana huyu Jaji, yaani Makamba na Membe waliofungiwa kufanya siasa kwa mwaka mmoja ndio wenye maadili kumshinda huyu Jaji? Kweli CCM kiboko!