Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Achaneni nae huyo kwanza 'saizi yake tu' kuitwa. Yeye akubali tu kuwa kuwa hakuna jipya...Ameobwa (kwa staili ya kuingizwa mkenge 'kuhadaiwa' au kutumiwa bila ya kujitambua) kutumika kama mgombea...Kama alivyokuwa akitumiwa huku akijitambua kutumika kwa kutulea 'judgements' sizizo na mashiko na za hovyo before ikiwemo mgombea binafsi.
Kwanza alishajivua nguo siku nyingiii huyu wala si kumuonea huruma huyu....Waswahili husema "Muonsha Huoshwa" hivyo mwacheni aonje uchungu wa shubiri kama na yeye alivyokuwa akiwaonjesha watu kwa staili ya kutumiwa.
Long time no see you....