Jaji Ramadhani: Nitatema nyongo baada ya Uchaguzi

Jaji Ramadhani: Nitatema nyongo baada ya Uchaguzi

Achaneni nae huyo kwanza 'saizi yake tu' kuitwa. Yeye akubali tu kuwa kuwa hakuna jipya...Ameobwa (kwa staili ya kuingizwa mkenge 'kuhadaiwa' au kutumiwa bila ya kujitambua) kutumika kama mgombea...Kama alivyokuwa akitumiwa huku akijitambua kutumika kwa kutulea 'judgements' sizizo na mashiko na za hovyo before ikiwemo mgombea binafsi.

Kwanza alishajivua nguo siku nyingiii huyu wala si kumuonea huruma huyu....Waswahili husema "Muonsha Huoshwa" hivyo mwacheni aonje uchungu wa shubiri kama na yeye alivyokuwa akiwaonjesha watu kwa staili ya kutumiwa.

Long time no see you....
 
Asitishie kuj⭐mb⭐ wakati anaendesha Kama vp funguka sasa.
 
Ni kweli ni kapi tu. Angelikuwa na lolote la maana ansingesema eti anaogopa kusema ili asibadilishe upepo w auraisi. Huyu ni kapi tena halifai. Hajitambui na hana uchungu na nataifa. Asingekuwa kapi, asinge sita kusema kweli yoyote anayoijua ambayo ingewafanya Watanzania waamue kuchagua kiongozi kwa busara kwa kutumia taarifa sahihi ili kujenga nchi.

Huyu ni kapi tu linaloenda na upepo, hana uchungu na nchi, hana ujasiri wa kufanya maamuzi na hana uwezo hata mdogo wa kuikomboa nchi. Kajaa unafisi na ubendera fuata upepo.

Kweli ni kapi tena lisilokomaa, na ambalo halifai. kusema baada a uchaguzi ni kuwazomea Watanzania na hila za kusababisha machafuko

M.baffu kabisa na kama nasemi sasa na anyamaze hata milele. Hatutegemei lolote jema kutoka ccm. Yote ni majambazi tu yamezoea rushwa na ku black mail.

Heri ya huyu Jaji kuliko kapi lenu Lowassa ambalo saa hizi ndiyo linajifanya lina uchungu na watanzania kisa lilikatwa na ccm.Ni mbinafsi,mnafiki na hana uzalendo kwa nchi yake.Taifa lilipofanyiwa ufisadi kisha yeye kuamua kujiuzulu na kukaa kimya ni usaliti mkubwa kwa watanzania.Malipo ya kufanya hivyo alitaka apewe Urais.What he cares ni madaraka na si watanzania.Tungemuelewa sana kama baada ya kashfa ile angejiuzulu na kuhama chama kwenda kupigania ukombozi mahali pengine.Badala yake akaanza harakati za usaliti ndani ya chama ili kutimiza malengo yake binafsi.Pigeni kelele tu humu sababu thamani yenu ni bilioni 10 but wananchi wametulia tulii sababu wanajua ni mtu ambaye hafai na tayari Rais wao wanaye mioyoni mwao.M4C,maandamano mpaka damu za watu kumwagika,migomo na vurugu bungeni kumbe thamani yake ni bilioni 10 tu
 
Wange mrudishia hela yake ya fomu na ghalama alizotumia kutafuta wadhamini angalau. Pia hizi fomu za "kujiunga" TRA huwa wanapewa 10pcnt yao?
 
CCM imemdhalilisha sana huyu Jaji, yaani Makamba na Membe waliofungiwa kufanya siasa kwa mwaka mmoja ndio wenye maadili kumshinda huyu Jaji? Kweli CCM kiboko!

achilia mbali jaji,yaani makamu wa rais na waziri mkuu nao hawana maadili
 
Jaji aweke u CCM wake pembeni atemenyongo mapema ili itusaidie watanzania kupata kiongozi bora kutoka kwenye chama bora.
 
Aliyekuwa mgombea urais CCM na kukatwa kwa madai kuwa hana maadili(Alikatwa na Kamati ya Maadili) amenukuliwa kuwa atasema ya moyoni baada ya uchaguzi.Hofu yake ni kuwa akisema leo atabadilisha upepo wa urais kabisa.Ikumbukwe kuwa Mh.Kinana alisisitiza kuwa waliokatwa ni makapi,hivyo hawatishiki nao.Hii ni wazi kuwa hakuridhika kwa maana angeridhika isingekuwa tabu kufagilia mchakato wa chama chake.
Lakini huyu Jaji ndiye aliyetoa hukumu ya kukataa mgombea binafsi kwa kuipendelea ccm na serikali yake. Leo anataka kutwambia nini? Alichokilinda kiovu kimembgeuka maana hakusimamia ukweli!
 
walioitwa kwa kubembelezwa wakawa makapi? hakika ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno!!
 
Kapi ni lowasa mwenye record ya kukataliwa ndani ya ccm, hana maadili ya kuendelea kubaki huko. Chama cha mapinduzi hakikuwa na muda wa kushughulika na wauuni. Kama mtu ni muhuni ataondoka wale ambao watakubaliana na mambo kwa maana ya kujua uongozi ni nini watabaki ccm nao ndio hakina Jaji Augustino

CHENGE simsikii mkamtaja kama fisadi coz yupo kwenu gambaz ila akihamia upinzani leo hii mtasikia kila aina ya neno kama ambavyo mnafanya kwa lowassa now...CCM kifo kipo palepale tuuuuuu haikwepeki
 
Ni sawa na kununua sanda baada ya mazishi...

Akitema nyongo baada ya.uchaguzi nitamuita mnafiki,halafu kwenye katiba alikaa kimya,huku kwenye siasa yupo kimya,huyu mtu atatumika hadi dakika ya mwisho
 
CCM imemdhalilisha sana huyu Jaji, yaani Makamba na Membe waliofungiwa kufanya siasa kwa mwaka mmoja ndio wenye maadili kumshinda huyu Jaji? Kweli CCM kiboko!
Huyo Judge mwehu tu amekalia unafiki tu! Tangu alipozinguwa mgombea binafsi, nilimwona ni mnyinyiemu,
yamoyoni yepi hayo yatakayobadilisha upepo? Na umwambie kabisa ya Kaisari ampe Kaisari na ya Mungu ampe Mungu na ya Pilato amwachie Pilato! Judge mbabaishaji tu huyo! Hakumwona yule mwenzie kihereni wa Kenya?
 
Heri ya huyu Jaji kuliko kapi lenu Lowassa ambalo saa hizi ndiyo linajifanya lina uchungu na watanzania kisa lilikatwa na ccm.Ni mbinafsi,mnafiki na hana uzalendo kwa nchi yake.Taifa lilipofanyiwa ufisadi kisha yeye kuamua kujiuzulu na kukaa kimya ni usaliti mkubwa kwa watanzania.Malipo ya kufanya hivyo alitaka apewe Urais.What he cares ni madaraka na si watanzania.Tungemuelewa sana kama baada ya kashfa ile angejiuzulu na kuhama chama kwenda kupigania ukombozi mahali pengine.Badala yake akaanza harakati za usaliti ndani ya chama ili kutimiza malengo yake binafsi.Pigeni kelele tu humu sababu thamani yenu ni bilioni 10 but wananchi wametulia tulii sababu wanajua ni mtu ambaye hafai na tayari Rais wao wanaye mioyoni mwao.M4C,maandamano mpaka damu za watu kumwagika,migomo na vurugu bungeni kumbe thamani yake ni bilioni 10 tu


piga kelele tu lakini wanachi hao unaowasema wamekaa kimya ndiyo sisi hapa.tangu lowasa aliposema kilichotokea kwenye richmond si chama wala serikali ambayo imeshakuja kukanusha.unajua nini mkuu,sisi wananchi siku hizi tumeshajitambua,siyo misukule yenu tena.mlituaminisha lowasa fisadi lakini Mungu hamfichi mnafiki,hatimaye ukweli umejulikana,mmekaa kimya mnadhani mtaendelea kutuaminisha hivyo.tumeshajua adui yetu ni nani,nchi haiendi kisa hela zinapigwa na wapigaji tumeshawajua ni "mamlaka za juu" hivi unadhani adui yetu ni lowasa tena?hapana ni mamlaka za juu.CAG afanye uchunguzi aseme kweli kwenye escrow kuna fedha za umma,kuna mapungufu makubwa,lakini "mamlaka za juu" zinakuja na kusema pale mnazi mmoja fedha zilikuwa za singasinga.CAG achunguze,kamati ya bunge ichunguze,suala lijadiliwe bungeni na baadhi ya watu ikawagharimu nafasi zao,prof muhongo na mama tibaijuka,lakini huyo huyo aliyewawajibisha anasema pesa siyo za serikali.sasa kulikuwa na haja gani bunge kujadili na hata watu kuchukuliwa hatua kwa kujiuzuru kwa hela za mtu binafsi?leo hii watu wanahojiwa kwenye kamati ya maadili,watahojiwaje kwa ajili ya hela za mtu binafsi?mkuu hivi unadhani hatujitambui tena?hivi unadhani siye misukule?hivi unadhani tumerogwa?hivi unadhani siye wajingawajinga vile?si bora hiyo bil 10 kuliko hayo marichmond,maepa,maescrow,makagoda,mameremeta nk
 
Back
Top Bottom