OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,776
- 102,136
Aliyekuwa mgombea urais CCM na kukatwa kwa madai kuwa hana maadili(Alikatwa na Kamati ya Maadili) amenukuliwa kuwa atasema ya moyoni baada ya uchaguzi.Hofu yake ni kuwa akisema leo atabadilisha upepo wa urais kabisa.Ikumbukwe kuwa Mh.Kinana alisisitiza kuwa waliokatwa ni makapi,hivyo hawatishiki nao.Hii ni wazi kuwa hakuridhika kwa maana angeridhika isingekuwa tabu kufagilia mchakato wa chama chake.