CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Ndugu wa marehemu na watu waliokatwa miguu, kwa ajali aliyoisababisha Jaji Rugazia, bado wanasumbuliwa na Jaji yupo kazini na wala hajafikishwa mahakamani, au kutoa tamko lolote li haki itendeke na ionekane imetendeka. Inawezekana sheria inamlinda jaji hata akiua watu kwa ulevi tu!!!!!!!!!!! kama sheria inasema hivyo, SAWA, LAKINI NI VYEMA KULITOLEA TAMKO. HII NI KULINDA HESHIMA YA MAHAKAMA NA IMANI YA MAHAKAMA KWA RAIA.