Mr Kinje mimi si pro Gov. Lakini kwa aina ya watu tulionao sioni wa kutusaidia kupata tume huru. Hata wasomi wetu wanavunja moyo sana, bunge letu limejaa ushabiki mwisho wa siku ni NDIIOOOOOOOO
Wananchi wao wameshatiwa uoga na upofu
LUBUVA ndiye anatakiwa KUFULIWA.Yeye ndiye BOSS wa tume ya uchaguzi hivyo madudu yote yamefanyika chini ya uongozi wake.Hawezi kukimbia KIVULI chake.
Labda watanzania waamke kwenye usingizi wa pono
Huyu ni mmoja wa watu waliowahi kuweka elimu yao mfukoni kwa sababu ya tumbo
nani kasema usingizi wa pona? na nani kakuambia mimi kijana?Watanzania akina nani hao na Eleza hapa nani kawalaza huo
usingizi wa pona acha dharau kijana.
exactllyHuyu ni mmoja wa watu waliowahi kuweka elimu yao mfukoni kwa sababu ya tumbo
na GhanaSasa kama anajua hayo kwa nini kiherehere cha kusimamia uchanguzi,hizo tume zote ya Tanzania na Zanzibar haziko huru,Africa tume kidogo zenye uhuru ni Zambia,Kenya na Botswana.