shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Watanzania wenzangu tunapita katika kipindi kigumu kupata mtu sahihi anayefaa kuwa rais wetu. Katika kipindi hiki kuna makundi yamepewa pesa kuwachafua baadi ya wagombea.
Makundi haya yanatafuta kila sababu ya kumchafua Jaji Augustino Ramadhani, kwa kuwa hawana hoja, kwani Jaji Ramadhani hachafuki, wanatafuta visababu visivyo na kichwa wala mkia.
Hoja ya kwanza ilikuwa eti majaji na wanajeshi hawaruhusiwi kuwa wanachama wa vyama vya siasa. Mzee wa watu kawajibu mara moja tu hoja hiyo inaonekana nyepesi, majibu yake yalikuwa kama ifuatavyo:-
Alipohitaji kujiunga na jeshi akiwa anasoma UDSM, alijiunga na TANU na kusitisha uanachama mwaka 1992 ili kukidhi mahitaji ya katiba.
Swali: Je, Jaji Ramadhani ni yeye pekee ambaye aliwahi kugombea nafasi ya rais huku akiwa mwanajeshi au jaji? Rais Kikwete ni mwanajeshi mstaafu na aligombea mwaka 2005 na sasa ni rais wetu anayemaliza muda wake. Hata jaji Ramadhani alikuwa mwanajeshi na jaji, sasa ni mstaafu kama Kikwete. Tafuteni hoja nyingine hii imeshindwa.
Wakora wametafuta hoja nyinge, eti Jaji Ramadhani amevunja kiapo cha kanisa la Anglican Tanzania. Kanisa la Tanzania siyo kanisa la Anglo Catholic Church kama baadhi wanavyodai, kanisa la Anglican limesajiliwa Tanzania kama Anglican Church of Tanzania na sio Anglo Catholic Church.
Pia ya MUNGU mpeni MUNGU na ya Kaisari mpeni Kaisari. Pia Biblia inatambua kuwa mamlaka zote zinatoka kwa MUNGU" Warumi 13:1-7 "Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu". Haiwezekani MUNGU atambue Mamalaka za juu harafu watumishi wa MUNGU wasiruhusiwe kuwa viongozi.
List of Anglo-Catholic churches From Wikipedia, the free encyclopedia
This is a list of Anglo-Catholic parishes and missions within the Anglican Communion that are considered notable.
Set by Contents
1 Australia
2 Brazil
3 Canada
4 New Zealand
5 United Kingdom
6 United States
Katika orodha hiyo hapo juu, hakuna hata nchi moja ambayo ipo chini ya Anglo-Catholic churches ambayo canon law ya 1734 ac number 4559 imekuwa quoted na baadhi ya team za wa wagombea.
Tafuteni sababu nyingine hii imeshindwa.
Makundi haya yanatafuta kila sababu ya kumchafua Jaji Augustino Ramadhani, kwa kuwa hawana hoja, kwani Jaji Ramadhani hachafuki, wanatafuta visababu visivyo na kichwa wala mkia.
Hoja ya kwanza ilikuwa eti majaji na wanajeshi hawaruhusiwi kuwa wanachama wa vyama vya siasa. Mzee wa watu kawajibu mara moja tu hoja hiyo inaonekana nyepesi, majibu yake yalikuwa kama ifuatavyo:-
Alipohitaji kujiunga na jeshi akiwa anasoma UDSM, alijiunga na TANU na kusitisha uanachama mwaka 1992 ili kukidhi mahitaji ya katiba.
Swali: Je, Jaji Ramadhani ni yeye pekee ambaye aliwahi kugombea nafasi ya rais huku akiwa mwanajeshi au jaji? Rais Kikwete ni mwanajeshi mstaafu na aligombea mwaka 2005 na sasa ni rais wetu anayemaliza muda wake. Hata jaji Ramadhani alikuwa mwanajeshi na jaji, sasa ni mstaafu kama Kikwete. Tafuteni hoja nyingine hii imeshindwa.
Wakora wametafuta hoja nyinge, eti Jaji Ramadhani amevunja kiapo cha kanisa la Anglican Tanzania. Kanisa la Tanzania siyo kanisa la Anglo Catholic Church kama baadhi wanavyodai, kanisa la Anglican limesajiliwa Tanzania kama Anglican Church of Tanzania na sio Anglo Catholic Church.
Pia ya MUNGU mpeni MUNGU na ya Kaisari mpeni Kaisari. Pia Biblia inatambua kuwa mamlaka zote zinatoka kwa MUNGU" Warumi 13:1-7 "Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu". Haiwezekani MUNGU atambue Mamalaka za juu harafu watumishi wa MUNGU wasiruhusiwe kuwa viongozi.
List of Anglo-Catholic churches From Wikipedia, the free encyclopedia
This is a list of Anglo-Catholic parishes and missions within the Anglican Communion that are considered notable.
Set by Contents
1 Australia
2 Brazil
3 Canada
4 New Zealand
5 United Kingdom
6 United States
Katika orodha hiyo hapo juu, hakuna hata nchi moja ambayo ipo chini ya Anglo-Catholic churches ambayo canon law ya 1734 ac number 4559 imekuwa quoted na baadhi ya team za wa wagombea.
Tafuteni sababu nyingine hii imeshindwa.