CDM JF wanashangilia kupooza kwa mtanzania mwenzetu, haohao wanashabikia mgomo wa madaktari unaolenga kupoteza maisha ya watanzania. Hiki ni chama chenye mapenzi na watanzania. Nakumbuka mpigania haki marehemu Chacha Wangwe aka Ras alipoingilia maslahi ya CDM 'mungu' wa akina crashwire akamshukia.