Jaji aliyemvua Lema ubunge apooza miguu

Kama hicho kipapai kipo CDM basi wakitumie hapa JF kuwatandikia wale wale na wale wengine sijui wanalipwa kupost uzi za kibaguzi na Udini wao
 
kama ulikuwepo siku ya kutoa tamko rasmi la chama juu ya kuvulia ubunge lema utakuwa una jibu sahihi, na kama umefatilia kilicho wapata wale wagawa sanda kule Lindi utakuwa na jibu...
sisi tuna Mungu, wao wana pesa.


Msisahau kuwa mbunge wa Korogwe Prof. Maji Mafupi ambaye alitaka kutamba wakati wa uchaguzi wa Arumeru (kwa nguvu za giza), wote ni mashahidi kuwa alielekea India kwa tiba baada ya sakata lile. Bwana asipoijenga nyumba wajengao wafanya kazi bure ... Wasijaribu kufuata nyayo za Simba wa Yuda!
Mungu amhurumie na kumrehemu apone ili aujue ukuu na utukufu wake, amina
 
Habari zilizothibitishwa leo tarehe 27.06.2012 Gabriel amehamishiwa India kwa matibabu zaidi kutokana na hali yake kutokuwa nzuri.
 
Tunamwombea apone ili aone baraka za Mungu alizoandaa kwa ajili ya Lema na chadema kinavyochukua nchi
 

Siku hizi umekuwa msemaji wa Mwenyezi Mungu, haya tuambie na wengine wenye dhambi kama hizo au zaidi ya Lema.
Kimsingi laana zote zinatoka kwa Mungu, suala la kumhusisha Lema hapa ni mitizamo ya watu tu, ila umeenda zaidi na kumhukumu Lema kama mwenye dhambi nyingi du, usihukumu kwakuwa na wewe bado ni binadamu tu.
 
Mtu yeyote ambaye anapigania kuendeleza ufisadi huyo ni adui wa CHADEMA, ni adui wa Watanzania wapenda maendeleo. Hiyo naomba ieleweke, siyo siri.

Usituletee ushamba wako hapa. Arguments zako hizo kama umekosa sehemu ya kuziweka, ni bora usiandike chochote.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…