mkuu mimi ni mojawapo wa walioletwa na lowasa! jamaa ametutosa hapa nimefika maktopora nachanja kwa mguu kurudi kahama!Wale watu walioletwa na Lowassa Dodoma,wataweza kumfuata Ili awape nauli za kuwaludisha makwao?,daah wengi itakula kwao..
yaani jamaa ni kigeugeu kweli kweli!