Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Kweli Jaji aliingia choo cha kike tena kibovu, aliamua kumsaliti Mungu ili aende kumtumia Kaisar.
Hahaaah Jamaa kaingizwa mjini na Tapeli Kikwete.
 
wagombea wengi wanasema waliombwa kila mmoja aliombwa kwa wakati wake yaelekea walikuwa wanapewa ahadi kemkem
 
Yaani huyo jaji nime mdelete katika mind yangu kabisa wala sikutegemea kama angechukua fomu na hii inatuonesha kuwa kupata tume huru ya uchaguzi ni ndoto ni sawasawa na kuona jasho la kuku ,kwa sababu kama jaji ana kadi ya ccm Lubuva wa NEC anakosaje?Msajili wa vyama anakosaje kadi ya ccm, na wengineo mkuu wa polisi ccm sasa hapo watashindwa kufunga goli la mkono kweli?
 
Yaani huyo jaji nime mdelete katika mind yangu kabisa wala sikutegemea kama angechukua fomu na hii inatuonesha kuwa kupata tume huru ya uchaguzi ni ndoto ni sawasawa na kuona jasho la kuku ,kwa sababu kama jaji ana kadi ya ccm Lubuva wa NEC anakosaje?Msajili wa vyama anakosaje kadi ya ccm, na wengineo mkuu wa polisi ccm sasa hapo watashindwa kufunga goli la mkono kweli?

Kwa kuwa tunaye striker Magufuli...hakuna goli la mkono hapo...sikilizieni mkwaju tena kutokea nje ya 18 kimo cha mbuzi mithili ya Sunday Oliseh enzizake miaka ya 90
 
Ili uwe waziri mkuu lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa toka chama kilichokuwa na wabunge wengi.ndo katiba yetu ya ss tz
 
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!
Huyu alitakiwa azame hata mapema zaidi ya hapo. Alichakachua hukumu ya mgombea binafsi na hii dhambi bado itaendelea kumtafuna!
 
Ila CCM kiboko! yaani nashangaa kuwaingiza wale wanawake kwenye tatu bora wakati wanajua kabisa kwamba wana vigezo hafifu na hawauziki kabisa kama mkaa wa mtwara. Ni kama wameingizwa kwenye maigizo fulani bila wao kujua, kama huyo migiro hata UN alishindwa kazi halafu eti ndio leo aonekane anakubalika kugombea nafasi ya juu kabisa ya nchi! Hata wenzetu watatucheka sana.
 
Yeye kama aliona jinsi mapendekezo ya tume yake na warioba yakitupiliwa mbali,hakupaswa kuingia kichwa kichwa,shame on you Judge.
 
Ila CCM kiboko! yaani nashangaa kuwaingiza wale wanawake kwenye tatu bora wakati wanajua kabisa kwamba wana vigezo hafifu na hawauziki kabisa kama mkaa wa mtwara. Ni kama wameingizwa kwenye maigizo fulani bila wao kujua, kama huyo migiro hata UN alishindwa kazi halafu eti ndio leo aonekane anakubalika kugombea nafasi ya juu kabisa ya nchi! Hata wenzetu watatucheka sana.

foreign/prime minister if ccm wins.
 
Jaji alikuwa chambo tukijua dini na uzanzibar kingekuwa kigezo cha yy kuwa rais.sa imebak aibu tu kuwa jaji aliutaka urais
 
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!

wapo vilevile akina bilal pinda sitta nk nk. Jaji ni rais wa mahakama ya afrika na anaendelea kufaidi marupurupu yake makubwa kama jaji mstaafu wa mhimili wa tatu.
 
Kwa taarifa yenu huyo ndo waziri mkuu wa serikali ijayo amini nakwambia
He does nog qualify - he is from Zanzibar. Kumbuka waziri mkuu anaongoza mambo mengi ya Tanzania bara...serikali za mitaa
 
Je majina yao yalifika CC..?
Mh Nchimbi alisema waliletewa majina na kamati ya maadili.
 
Bahati mbaya siyo tu yeye bali taaluma nzkma ya kijaji imeingizwa katika utata wa uhuru wake nje ya mhimili wa utendaji au chama tawala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom