Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Mbona wamejitosa wengi na hawakufika hiyo 5 bora itabidi tuweke special thred kwakila mmoja wao.
 
Huyu alitakiwa apumzike kwa heshima, tamaa ya madaraka ikamponza!
Aliongoza mhimili wa kutoa haki hadi akastaafu, baadaye akatamani kuongoza mhimili wa kudhulumu, kutesa, kuua n.k.
Uamuzi mbaya sana!
 
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!
Ukimpa mwanasheria nchi kila siku itakuwa kulumbana mahakamani tu na mara nyingi wanasheria wengi huwa wanajua sana kuongea lkn action 0, ngoja muone utawala wa mwanasayansi sasa ni vitendo tu maneno hawajuagi mara nyingine hata kiingereza ni shida kwa wanasayansi lkn action ni 100 100
 
Kwa niaba yake maamuzi ya chama yaheshimiwe demokrasia imechukua mkondo wake.

Nani anabisha kuwa DEAL ya kupata candidate aliye mtaka MKULU imekufa bila kutegemewa?
MKULU hakutegemea kuwa baadhi ya wanakamati wa CC watatoka nje na kueleza kutofuatwa kwa taratibu za kuwapata 5 bora. Ilikuwa ni kama imetoka kwa Mwenyezi Mungu yaani hao (DR. Nchimbi, Mhs Sofia Simba na Mhs Adam …..) WALIKUWA MALAIKA WAKE!

WANA JF hatuna budi kuwashukuru hawa jamaa hata kama walikuwa wako kwenye kambi ya EL. Maana bila hivyo huyo jamaa wa KUSINI alisha tayarishwa! Imekula kote yaani kwa MUKULU pamaoja na EL.
 
Anakuwaje waziri mkuu wakati sio mbunge au unaropoka tu
Huyo Mwanaka inaelekea haijui Katiba ya nchi.

Labda aseme kuwa huyo Jaji aikubali nafasi ya kubeba kitendea kazi chake cha mkasi na kuzunguka nao nchi nzima akifanya kazi ya kukata utepe, ambayo kazi hiyo qualification yake muhimu ni kuwa kama President ametoka Tanganyika basi VP lazima atoke Zanzibar.
 
Nani anabisha kuwa DEAL ya kupata candidate aliye mtaka MKULU imekufa bila kutegemewa?
MKULU hakutegemea kuwa baadhi ya wanakamati wa CC watatoka nje na kueleza kutofuatwa kwa taratibu za kuwapata 5 bora. Ilikuwa ni kama imetoka kwa Mwenyezi Mungu yaani hao (DR. Nchimbi, Mhs Sofia Simba na Mhs Adam …..) WALIKUWA MALAIKA WAKE!

WANA JF hatuna budi kuwashukuru hawa jamaa hata kama walikuwa wako kwenye kambi ya EL. Maana bila hivyo huyo jamaa wa KUSINI alisha tayarishwa! Imekula kote yaani kwa MUKULU pamaoja na EL.
It is very true Wabuyaga.

Na kwa kuongezea hapo ni kuwa lazima waTz pia tumshukuru sana Mungu kwa jinsi kwa ukuu wake namna alivyoingilia kati na kutenda muujiza mkubwa wa kuwezesha majina mawili ya EL na huyo mgombea wa mkulu ambao kulikuwa na kila dalili ya kuwa walikwisha fanya 'dili' ya kuipiga bei nchi yetu,lakini kwa bahati nzuri majina yao yakapigwa chini.
 
Kwa taarifa yenu huyo ndo waziri mkuu wa serikali ijayo amini nakwambia

ili uwe waziri mkuu unatakiwa uwe mbunge wa kuchaguliwa kutoka jimbo lolote la uchaguzi(hii ni kwa mujibu wa katiba,anagombea jimbo gani?)
 
Tusiendekeze hawa Majaji, wakuu wa Polisi (IGP), ma General wa JWT na TISS kuwania Urais kupitia CCM!

Inapaswa wakistaafu, wakae pembeni.
 
Sasa kama siyo huyu Jaji kuchukua fomu ya urais kupitia ccm tungejua lini kwamba kuna majaji wa Mahakama kuu na Mahakama ya rufani ambao ni makada wa ccm?!
Huo ulikuwa mpango wa Mungu kutupa ushahidi kuwa Mahakama ina makada wa chama chakavu, haki imewekwa rehani.
 
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!

bora alikatwa mpuuzi huyu alipinga mgombea mweza kwa kukusanya majaji wote wa mahakama ya rufaa....alidhani ccm wajomba na shangazi zake.
 
Mkuu kwani baada ya hapo si unafuata uchaguzi mkuu sasa unaposema huyu ndo waziri mkuu mbona hueleweki ebu fafanua tafadhali

Tatizo kuna wachangia mada bila kuwa na ufahamu wa mada husika. Shame on them.........
 
Jaji Ramadhani alikosa uadilifu kwani alikuwa makamu mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wakati akiwa bado mwanachama wa ccm hilo kosa ndilo lilimuondoa jaji mark bomani kwenye mchujo wa urais mwaka 1995 kama mtu anaweza kuwa mwongo wakati bado hajawa rais itakuwaje akiwa rais lakini pia amekipaka matope chama chake kuwa wajumbe wote wa tume ya uchaguzi ni vibaraka wa ccm
 
bora alikatwa mpuuzi huyu alipinga mgombea mweza kwa kukusanya majaji wote wa mahakama ya rufaa....alidhani ccm wajomba na shangazi zake.

Nadhani ulikua na maana ya mgombea binafsi.
 
Nilimheshimu sana, ninamuheshimu sana na nitaendelea kumheshimu sana!
Nisilokuwa na uhakika nalo ni kama Watanzania wengine wataendelea kumheshimu kama mimi baada ya kujivalisha manguo ya kijani!
 
Ni mtu makini sana ila cha kushangaza ni je, Jaji Ramadhani si mwadilifu kuliko J. Makamba? None sense :cheer2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom