Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Mengi yatasemwa....lakini mwisho wa siku CCM wamempata mgombea wao.Kubwa lililobaki ni kwa wananchi kuamua wanamtaka nani na wanataka nini.....maendeleo..maisha bora na mazuri...haki...usawa... elimu...matibabu...usalama....amani na upendo.2015 zamu yako.
 
Atapewa ubunge na Mzanzibar mwenzie 'Mh. Rais mtarajiwa mama Amina' kama alivyopewa ubunge Muhongo kisha akateuliwa kuwa wazir wa nishati na madini, naye Jaji atakuw PM kwa njia hiyo.

PM wa Tanzania ni lazima awe ni mbunge wa kuchaguliwa si kuteuliwa na ukae ukijua safari hii tuna delete wabunge wengi wa CCM hivyo upinzani utapopata zaidi ya nusu ya wabunge wote watatoa Spika na Waziri Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom