Ramadhan Kimbeiye
Senior Member
- Aug 28, 2013
- 114
- 50
Atapewa ubunge na Mzanzibar mwenzie 'Mh. Rais mtarajiwa mama Amina' kama alivyopewa ubunge Muhongo kisha akateuliwa kuwa wazir wa nishati na madini, naye Jaji atakuw PM kwa njia hiyo.Atagombea jimbo gani?