Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Jaji Agustino Ramadhani, hiyo ndio CCM

Jamani watz tustegemee kupata rais bora kupitia mfumo ccm.ni ndoto za mchana.
Ni kujidaganya tu kuwa ni jembe. Ndani ya mfumo ule ule sitegemei mabadiliko mapya. Ka miaka hamsini yale Yale tu. Tatizo hapa sio mchapa kazi ni mfumo wa kufuata chama na sio matakwa ya wananchi
 
Atapewa ubunge na Mzanzibar mwenzie 'Mh. Rais mtarajiwa mama Amina' kama alivyopewa ubunge Muhongo kisha akateuliwa kuwa wazir wa nishati na madini, naye Jaji atakuw PM kwa njia hiyo.

Wewe embu nenda kasome katiba ,PM lazima awe mbunge wa kuchaguliwa toka jimboni na siyo kuteuliwa ,huyo jaji kalikoroga sasa alinywe mwenyewe
 
Ni kujidaganya tu kuwa ni jembe. Ndani ya mfumo ule ule sitegemei mabadiliko mapya. Ka miaka hamsini yale Yale tu. Tatizo hapa sio mchapa kazi ni mfumo wa kufuata chama na sio matakwa ya wananchi
Sisi wengine hatufahamu vizuri tufahamisheni rais bora anatoka kwenye mfumo upi wa chama kipi?
 
I doubt kama huyo aliyechaguliwa atakuwa "bora kuliko marais waliopita".mfumo unatoa mwanya kupata kiongozi asiye chaguo la wanachama
 
Acha wamsunike tu! Alikataa mgombea binafsi? Si mchungaji basi acha awachunge kondoo wa bwana! Ata uchungaji astaafu umri umeenda
 
Kwako MH.Jaji najua ulishauriwa vibaya kwenda mbiombio kuchukua form ya kugombea urais wa Tanzania, ila ulisahau unagombea kupitia chama kilekile kilcho kataa katiba yenu mlioiandaa! ulikatwa mapema hata 5 bora huku iona! japo ulikuja na sera ya chema cha jiuza! imekua chema cha jiinamia kwa aibu na huzuni! pole jaji hiyo ndo ccm naona hukupima kina cha maji umeenda mzima mzima ukazama!

Jaman,jaji Ago!
 
Duh kuna watu wapo kwenye wakati mgumu sana yule wa madui 11 itakuwaje na ndoto zake!!!
 
Atapewa ubunge na Mzanzibar mwenzie 'Mh. Rais mtarajiwa mama Amina' kama alivyopewa ubunge Muhongo kisha akateuliwa kuwa wazir wa nishati na madini, naye Jaji atakuw PM kwa njia hiyo.

sheria inataka mbunge wa kuchaguliwa jimboni. pia haijawahi kutokea waziri mkuu kutokea zenj ,ujue waziri mkuu anatakiwa kusimamia mawaziri bungeni
 
Sisi wengine hatufahamu vizuri tufahamisheni rais bora anatoka kwenye mfumo upi wa chama kipi?
Raisi bora ni yule anayetoka kwenye mfumo imara wenye kusikiliza wananchi wanataka nini na sio kuangalia masilahi ya chama au watu wachache kwa faida binafsi na na sio national interest.
 
ha ha ha mzee wa" tutaheshimiana tu" chalii kama namuona na scalf yake ya Tanzania
 
judge hajui kuupepeta mdomo,angeweza kuleta majanga yule....
 
Watanzania bhana. . . . . . Yaani mnachangia as if mnajua kwa uhakika "motive behind" yeye kuingia mule

Mkuu wewe umefikiria nje ya box. Hata mimi nilitaka kuwauliza wanajua kulichomfanya akachukua fomu? Halafu watu hawafikirii mara mbili! Hapa zililetwa habari Maiga, Makongoro na jaji Ramadhani wamefuatwa na ''kuombwa'' kugombea. Lakini wote hao hakuna aliyevuka kikwazo cha kwanza na badala yake wamechukuliwa watu ovyo kabisa kama kina Makamba na Membe. Inabidi wajiulize the motive behind...
 
Sisi wengine hatufahamu vizuri tufahamisheni rais bora anatoka kwenye mfumo upi wa chama kipi?
ccm will remain in its current state of ufisadi na kukumbatia masilahi ya wachache.......Everything will remain in its state of rest or uniform motion unless an external force act on it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom