Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo
More to follow
takukuru hawana jipya hapo changa la macho tu. mapuli yuko wapi?Kumbe ndio hii barua??? Hapo hapochomki.....kazi kwao TAKUKURU..
tehe tehe tehe....!nimeyapenda mazungumzo yao!! Kikwete(VASCO DAGAMA) hajui kujengea heshima,ataendelea kuonekana dhaifu wa maamuzi siku zote za maisha yake! Chance kama hii ili kuwa turning point ya kuonyesha kwamba WAKIFANYA uzembe kamaa huo hawaachi! KWELI KUNGURU HAFUGIKI!!one side:Mheshimiwa huyu jamaa kaharibu mambo,kuna m-mbeya mmoja kakamata barua yake na ameisoma bungeni imebidi nilazimike kuondoa bajeti ya ile wizara bungeni,...other side😀ah sasa itakuaje bana?kwanini hamkumpa cash ya kutosha lakini hadi akatoka kusema?one side:naona umfukuze tu kazi bana au unasemaje maana waheshimiwa ndivo walivo komaa eti, tena mbaya zaidi hadi wa upande wetu sijui wamekunywa juice nyekundu+nyeupe+nyeusi??!!!!other side:aiseee,ntaweza kweli?au mwambie tu aandike baru ya kujiuzuru ili apate malupu lupu yake aondoke, kafanya kosa mwenyewe hakua makini kama wengine!!one side:eti eh?ila kweli ukimfukuza atatoa siri zetu nyingi maana naona kuna mashushushu wengi kweli tusio wajua,kama vipi ngoja niongee nae fasta!!!
True usemayo mkuu,then huyu Ghost akipost habari zake niza ukweliHivi "Source" maana yake ni nini???Kama Ghost Ryder ni msaidizi wa Jairo na akamtuma kupeleka hiyo barua "source" atakuwa nani???
Anajua kama rais wake katua toka safari ya mwezini?Pinda hana taarifa za jairo kujiuzulusource tbc
Inaelekea humjui vizuri Kikwete wewe? Kwani angewaachia wenzake madaraka nchi ingeyumba namna hii? Ni kwamba Kikwete ni Rais yeye, waziri yeye, mkurugenzi yeye, balozi yeye. Kila jambo ni lazi yeye aagize na aamue. mwingine yeyote akiamua ni lawama tupu, na yupo likely kupoteza nafasi. Kwani kilichomponza Lowassa ni nini? Si hivyohivyo kujifanya na yeye ana maamuzi kama mtendaji mkuu wa serikali? Sasa yupo wapi? Hawa akina Ngeleja usione vile wanahangaika hawapati jawabu la tatizo la umeme, ni kwamba Kikwete ndiye anayesema kifanyike nini kwenye kila wizara.Ukisikia kuoza kwa nchi ndiko huko. Hivi wanafikiri sisi Watanzania tunawaangalia kwa namna gani? Je, Pinda atasema nini leo kwa watoto wake? Maana inaonekana kabisa hana madaraka amewekwa pale kama utingo wa daladala na kazi yake ni kufuata upepo hata kwenye mambo muhimu kwa taifa. Cha kujiuliza anaitetea vipi katiba aliyoapa kwamba ataitetea?