leo utashua/pandisha chati yako hapa JFUpdate:
Habari ambazo nazipata hapa katika ofisi za Mjengo ni kuwa Anawajibika kwa Rais. Hold on huenda PM akatoa tamko muda si mrefu. Ila kashawasilisha barua ya kujiuzuru. Tunatafuta maarifa ya kujua content.
SOURCE NI GHOST RYDER No More question Wakuu, Acheni tufanye kazi
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo
More to follow
Update:
Habari ambazo nazipata hapa katika ofisi za Mjengo ni kuwa Anawajibika kwa Rais. Hold on huenda PM akatoa tamko muda si mrefu. Ila kashawasilisha barua ya kujiuzuru. Tunatafuta maarifa ya kujua content.
SOURCE NI GHOST RYDER No More question Wakuu, Acheni tufanye kazi
nakubaliana na wewe kufukuzwa kazi ndo ingekuwa sulution, sasa amejiuzuru na MAFAO yoote anapewa khaaanchi hii bwana, alitakiwa afukuzwe kazi, ashitakiwe kwa rushwa, so if this is the case jamaa anapata haki zake zote. kwa hasira niliyonayo sasa naenda kunywa maji ya betri bora nife kuliko kuishi kwa matumaini ambayo nina uhakika hayata kaa yapatikane kwa style hii ya utamaduni wa kulindana.
Update:
Habari ambazo nazipata hapa katika ofisi za Mjengo ni kuwa Anawajibika kwa Rais. Hold on huenda PM akatoa tamko muda si mrefu. Ila kashawasilisha barua ya kujiuzuru. Tunatafuta maarifa ya kujua content.
SOURCE NI GHOST RYDER No More question Wakuu, Acheni tufanye kazi
Kina Ngeleja inakuwaje? Nao wasepe!Kama kweli amejiuzulu basi amefanya jambo la kiuungwana sana!!
Baraza zima la mawaziri livunjwa na bajeti irejewe ili kuweka heshima ya nchi katika mstari sawia.haiwezekani baraza la mawaziri libariki bajeti ya wizara ya Madini na nishati halafu tuseme mtu mmoja tu awajibike hakuna kitu cha aina hiyo wawajibike wote
Mi naona kama kachelewa angejiuzulu tokea juzi.....mshenzi wa adabu pumbavu zake....na Ngeleja naye anasubiri nini??? Yani nina hasira na hawa watu!!!!!