Mbona unamsahau Prof. Muhongo na Dr. Kalemani? Nao wamekula za uso kwani waliwaondoa juzi wachimbaji wadogo huko Mwakitolyo na leo JPM ameagiza warudi na leseni ya mwekezaji ifutwe. Only in Tanzania kiongozi anakula za uso lakini Hajiuzulu. Kweli njaa
.Mbona unamsahau Prof. Muhongo na Dr. Kalemani? Nao wamekula za uso kwani waliwaondoa juzi wachimbaji wadogo huko Mwakitolyo na leo JPM ameagiza warudi na leseni ya mwekezaji ifutwe. Only in Tanzania kiongozi anakula za uso lakini Hajiuzulu. Kweli njaa
Sasa hii to much!!!!!
Mmefedheshwa sana, Mmedhalilishwa sana!!! kazi kwenu sass kupima na kuwajibika juu ya tamko la ikulu!
Kuheshimika ni sasa si kesho wa juzi, fanyeni mahamudhi! Hili tamko haliwatakii memema!
Kazi kwenu!
Unafikiri sisi tuko kichwani mwako, unalojua wewe, na sisi tunajua? Kama hoja yako unataka iwe na michango ya kueleweka, lete hapa habari kamili!! Tutachangiaje ripoti iliyo kichwani mwako?Sasa hii to much!!!!!
Mmefedheshwa sana, Mmedhalilishwa sana!!! kazi kwenu sass kupima na kuwajibika juu ya tamko la ikulu!
Kuheshimika ni sasa si kesho wa juzi, fanyeni mahamudhi! Hili tamko haliwatakii memema!
Kazi kwenu!
kapunguze mwili ufikiri vizuri!!! Eti bonge we ni bonge wa nini!Unafikiri sisi tuko kichwani mwako, unalojua wewe, na sisi tunajua? Kama hoja yako unataka iwe na michango ya kueleweka, lete hapa habari kamili!! Tutachangiaje ripoti iliyo kichwani mwako?