Jacqueline Wolper arudi CCM

Kansigo

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
2,670
Reaction score
2,156
Ni kwenye hafla ya wasanii Dodoma

 

Wanarudi kwa yule Jamaa ambaye hakuwa akithamini kazi zao za Sanaa!
Ujinga ni tatizo aisee,

Hebu acheni kuchongesha Madawati. Hizo pesa zikalipe walimu ili watusaidi kuondoa huu ukoko ulio waganda baadhi ya wasanii wetu, ambao kila siku wanalilia kazi zao zithaminiwe na serikali.
 
Msanii nguli wa filamu nchini muda huu katika hafla ya wasanii ya kumuaga Mwenyekiti Mstaafu Mh. Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kurejea CCM.

"Nilipotea kwenda kule, nimeamua kurudi nyumbani".

Karibu nyumbani uungane na wenye akili, maisha na maendeleo yapo huku, kule kuna chuki, fitina, uzandiki, majungu na kundi la majobless wenye roho mbaya.

Karibu nyumbani uonje raha ya utu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…