Mkuu, kama ulimwamini Magufuli aliposema "...hakuna mwanafunzi atakayekosa mkopo..." kwa nini usimwamini G. Malisa pia kwa alichokiandika..?Kama una ujasiri wa kuandika haya uliyoandika, ungeanza kwanza kumshangaa Rais Dk John Pombe Magufuli ambaye alizunguka nchi nzima akiahidi kwamba "serikali ya Magufuli hakuna mwanafunzi atakayekosa mkopo elimu ya chuo kikuu"!