Jacqueline Mengi apeta mahakama ya Rufani, mahakama yakubali kumsikiliza kinyume na mapingamizi ya watoto wakubwa

Mahakama ya Rufani leo October 13, 2021 imetupilia mbali mapingamizi ya mtoto mkubwa wa Reginald Mengi dhidi ya maombi ya mapitio ya kesi kutoka kwa Jacqueline Ntuyabaliwe.

Awali Abdiel mengi na Benjamin Mengi walimuwekea pingamizi la awali la kisheria Jacqueline wakiiomba mahakama iyatupilie mbali maombi yake bila kuyasikiliza.

Anyways, ngozi nyeusi inabidi tufanyie kazi Succession plan.. Si kwa mafukara wala matajiri, nadra misiba kuisha bila habari. Huko Arusha mali
"Mahakama ya..... imetupilia mbali pingamizi" hii kauli inachekeshaga sana
 
Nilifikiri ameshinda rufaa yake kumbe mapingamizi.
Hata mimi nilidhani hivyo.

Eti kukubaliwa kusikilizwa tu, tayari mwandishi kayakuuzaa!

Eti anasema 'kupeta'!

Jamani, kwa tafsiri isiyo rasmi, kupeta si ni kushinda, sasa hapo kashinda wapi?
 
Mahakama ya Rufani leo October 13, 2021 imetupilia mbali mapingamizi ya mtoto mkubwa wa Reginald Mengi dhidi ya maombi ya mapitio ya kesi kutoka kwa Jacqueline Ntuyabaliwe.

Awali Abdiel mengi na Benjamin Mengi walimuwekea pingamizi la awali la kisheria Jacqueline wakiiomba mahakama iyatupilie mbali maombi yake bila kuyasikiliza.
Urithi urithi urithi kweli mtatoana roho yalabii kwa mali akizoacha baba.... acha tu watu ubuluzana mahakamani hakuna kusalimiani watu wanafura sumu imejaa vifuani kama cobra kisa mali
 
Ifike Mahali watoto wawe wanatafuta mali zao,sasa mtoto umesomeshwa,umesaidiwa kuanza maisha na baba yako,harafu baada ya mzazi wako kufa,unaanza kusumbua mke mdogo wa baba yako kuhusu mali za ulithi!!
Na nyie dada zangu ukiolewa na mdingi mkapata watoto,usibweteke,unaweza ukatumia nafasi aliyonayo hubby wako nawewe ujijenge,utengeneze mali na ukwasi wa kutosha kiasi kwamba,hubby wako akifa,hupati shida saaana,na utakuwa unapigania sehemu yako na watoto katika urithi huku ukiwa unakunywa mvinyo na tabasmu kama lote!!sio kwa vile ulizubaa wakati Mzee yupo hai,sasa hv inakuwa ni "do or die" kupigania huo urithi.
Mali tunazotafuta wazazi kama watoto hawatazingalia kwahiyo achukue hawara, usiendekeze uzinzi baki na mkeo na watoto ili ukifa wabaki nazo ziwanufaishe, selfish man
 
Regina Mengi, Mkuu unawaza kunyonya mguu wenzio wanaweza wanasumbuliwa na tapeli wa kinyarwanda
Ukiona mwanamke au mwanamme amefikia wakati wa kuoa/kuolewa lkn Hana mke Wala watoto wa nje, ujue Kuna tatizo hapo.
 
Watoto wa njee bastad children wanarithishwa kwa marekebisho ya sheria yaliyofanyika....
Wameongea mengi lkn sijawahi kusikia mtu akisema Jaqueling kambambikia Mengi wale mapacha.
Sasa Kama Ni watoto halali kwanini wasipewe Mali ya baba yao?
 
Wameongea mengi lkn sijawahi kusikia mtu akisema Jaqueling kambambikia Mengi wale mapacha.
Sasa Kama Ni watoto halali kwanini wasipewe Mali ya baba yao?
Itapoelekea watoto watapewa, life style ya wazazi hazitakiwi kuathiri watoto wanje..... Kama ingekua marehemu ni muislam ingekua ngumu watoto kupata chochote
 
Huyu dada ni janga... kuna kitu anakitafuta atakipata..

Mzee Mengi alikuwa ni public figure asifikiri hii kesi ni kati yake na wanafamilia wa Mzee tu atakuwa kanoa...tupo kibao saaana atachoka mbona.


Tupo kibao kweli hasilete mzaa kabisa tunamroga kimya kimya Airtanzania ikianza kwenda burundi Mimi kama shabiki ni abiria wa kwanza
 
Hata mimi nilidhani hivyo.

Eti kukubaliwa kusikilizwa tu, tayari mwandishi kayakuuzaa!

Eti anasema 'kupeta'!

Jamani, kwa tafsiri isiyo rasmi, kupeta si ni kushinda, sasa hapo kashinda wapi?
Itakua ni kyln kamtuna dada ake hela aonge waandishi , waandike hivi
 
Ifike Mahali watoto wawe wanatafuta mali zao,sasa mtoto umesomeshwa,umesaidiwa kuanza maisha na baba yako,harafu baada ya mzazi wako kufa,unaanza kusumbua mke mdogo wa baba yako kuhusu mali za ulithi!!
Na nyie dada zangu ukiolewa na mdingi mkapata watoto,usibweteke,unaweza ukatumia nafasi aliyonayo hubby wako nawewe ujijenge,utengeneze mali na ukwasi wa kutosha kiasi kwamba,hubby wako akifa,hupati shida saaana,na utakuwa unapigania sehemu yako na watoto katika urithi huku ukiwa unakunywa mvinyo na tabasmu kama lote!!sio kwa vile ulizubaa wakati Mzee yupo hai,sasa hv inakuwa ni "do or die" kupigania huo urithi.
unqfikiri kusimamisha biashara ni jambo dogo, mdada alikukuruka alianzisha kampuni ya furniture ilikufa , mheshimu mtu anayesimamisha biashara
 
Back
Top Bottom