Jacob Zuma asema Mugabe yuko kizuizini Zimbabwe

Jacob Zuma asema Mugabe yuko kizuizini Zimbabwe

Na kweli, alikuwa anataka kufanya urais kama zawadi ya kifamilia, mwache avune alichopanda mwenyewe kwa ajili ya kushukiwa akili na mwanamke wake
 
Habar mbaya sana kwa wanalumumba kusikia pacha yao yupo kizuizini.

Tanzania nchi ya matahira hayawezi kutokea haya ndiyo maana yanageuzwa kama chapati

Mimi ni mtanzania ni siyo tahira. Acha kulaani nchi yako, wala usijilaani mwenyewe, ushindi kwa wanaoupenda unahitaji positive attitude
 
Kitendo walichofanya wanajeshi wa Zimbabwe kwa Rais wao sio sahihi, kinastahili kulaaniwa na taasisi mbalimbali duniani kote, lakini dunia iko njia panda kutoa kalipio kali kwa wanajeshi hao kutokana na tabia ya Rais Mugabe ya kung'ang'ania madarakani kwa muda mrefu na namna anavyomtafuta na kumuandaa mrithi wake.
 
Kitendo walichofanya wanajeshi wa Zimbabwe kwa Rais wao sio sahihi, kinastahili kulaaniwa na taasisi mbalimbali duniani kote, lakini dunia iko njia panda kutoa kalipio kali kwa wanajeshi hao kutokana na tabia ya Rais Mugabe ya kung'ang'ania madarakani kwa muda mrefu na namna anavyomtafuta na kumuandaa mrithi wake.
Huna msimamo
 
Hata nyinyi mkipinduliwa hakuna atakae laani
 
Wanajeshi wa Zimbabwe bado wanampenda Comrade
Mugabe!
Walichofanya ni kumsaidi kupumzika kwa kuwa kuna Genge la wahalifu likiongozwa na Mkewe lilikuwa linaiumiza Zimbabwe sana kwa Kivuli cha Mugabe

Jeshi limesisitiza Mugabe yuko safe Nyumbani kwake
Wanajua Majority ya Wazimbabwe wanamkubali comrade ndio sababu wanasita sits kutangaza wamemuondoa mpaka Hali iwe shwari !
Tumuache Mzee Apumzike kaifanyia Mengi sana Zimbabwe na Sadec
 
Nina uhakika wanajeshi hawana shida kabisa na Mzee Mugabe. Ila hata bila kuumiza kichwa lazima ujue kwa umri alionao yule mzee ni ngumu sana kufanya maamuzi ya maana. Sasa mfanya maamuzi alikuwa yule Mama (Grace) akitaka nani awekwe jela, anawekwa. Ilipofikia kwenye kutaka kumkabidhi uraisi ndio hapo ilipokuja tatizo unamkabidhije nchi mtu asiye na historia yoyote na harakati zozote za kimaendeleo kwa nchi zaidi ya kuweka rekodi ya kufanya shopping za gharama Dubai, China na Singapore. Kwa kifupi ukiacha Grace Mugabe pia alikuwa amezungukwa na wahuni wengi ambao walikuwa wanatumia umri wa mzee kufanya yao. Kwa lugha rahisi kilichofanyika ni kuondoa kundi la wahuni akiwepo Grace ambao wanaitawala nchi kwa mgongo wa Mzee ambaye hata kwenye mikutano na vikao anaishia kusinzia tu. Watakuwa pia wamemsaidia mzee kutambua kuwa muda huu anatakiwa apumzike kinyume na waliokuwa wananufaika na uzee wake walivyokuwa wanamdanganya kwamba bado ana nguvu Lakini hata hvy kuna wakati pia huwezi kumlaumu sana Mugabe... UZEE ULIKAMATA NAFASI, wakati huo huo alikuwa na mwanamke aliekaa ki strategy zaidi.
 
Ina maana maandishi ya Uvccm yanakupa tabu kuyagunduwa?

Anahisi na mungu wa Tanzania naye yanaweza kumkuta.
aiseee!! atulie ndani ss anywe maji aache kupanik mpaka kuja kuandka uzi humu haueleweki.

kila kitu na wakati wake, na huyu muda wake upo njiani.
 
Wanajeshi wa Zimbabwe bado wanampenda Comrade
Mugabe!
Walichofanya ni kumsaidi kupumzika kwa kuwa kuna Genge la wahalifu likiongozwa na Mkewe lilikuwa linaiumiza Zimbabwe sana kwa Kivuli cha Mugabe

Jeshi limesisitiza Mugabe yuko safe Nyumbani kwake
Wanajua Majority ya Wazimbabwe wanamkubali comrade ndio sababu wanasita sits kutangaza wamemuondoa mpaka Hali iwe shwari !
Tumuache Mzee Apumzike kaifanyia Mengi sana Zimbabwe na Sadec
Kwahiyo Mugabe bado ni Rais wa Zimbabwe?

Hilo genge la wahuni kwa hapa kwetu ndio Uvccm.
 
Back
Top Bottom