Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 310
- 288
Jackline Juma Sakilu AVUNJA Rekodi ya Taifa kwa sekunde 33, kwenye Mbio Ndefu za Kilomita 21, Kwa kushika nafasi ya Tatu Kwa Muda wa 1:06:04 (Half Marathon) Tarehe 24/02/2024 , Rekodi ya Taifa ambayo iliyokuwa inashikiliwa na Magdalena Shauri kwa muda (1:06:37) toka tarehe 21 February 2020 kwenye Mbio za Ras Al Khaimah Half Marathon (U.A.E) kwenye njia hiyo hiyo, na wote ni Wanariadha kutoka (JWTZ).
Wakati wa Huo Huo, Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania toka (JWTZ) Alphonce Felix Simbu ashika Nafasi ya Kumi kwa Muda wa 1:00:28 kwenye Mbio hizo hizo.
Tunawapongeza Wote Kwa Kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania.
Wakati wa Huo Huo, Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania toka (JWTZ) Alphonce Felix Simbu ashika Nafasi ya Kumi kwa Muda wa 1:00:28 kwenye Mbio hizo hizo.
Tunawapongeza Wote Kwa Kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania.