Amefanyia nini watanzania cha maana, that is his legacy to this country and its citizens!!! Madawa ya kulevya, usalama wa tembo zetu, usalama wa madini yetu, usalama wa uhai wa watanzania wanaokufa vifo vya kutatanisha!!! Je alifanya kazi yake ipasavyo?
Taarifa hii kama ni ya kweli basi inatoka jikoni
Kama amelinda vizuri viongozi wa ccm ambacho ndo chama tawala, well done. Hilo lilikuwa ni jukumu lake na anastahili kupongezwa kwa hilo. CHADEMA subirini muda wenu ukifika nanyi mtalindwa vizuri na idara yetu mahirihakufanya llote kwa watanzania wa hali ya chini,alitumia nafac yake kulinda viongoz wa ccm na kudhoofisha upinzani
hakufanya llote kwa watanzania wa hali ya chini,alitumia nafac yake kulinda viongoz wa ccm na kudhoofisha upinzani
Mkuu, kama ameboresha maslahi ya wafanyakazi wake, well and good. Hao ndo aina ya wafanyakazi tunaowahitajiNasikia huko kwao wanamasifu sana kwan ameboresha masirahi ya wafanyakazi wengi wao wanatembelea magari
Kama amelinda vizuri viongozi wa ccm ambacho ndo chama tawala, well done. Hilo lilikuwa ni jukumu lake na anastahili kupongezwa kwa hilo. CHADEMA subirini muda wenu ukifika nanyi mtalindwa vizuri na idara yetu mahiri
Sidhani kama ni kipimo tosha kuwa Usalama wa Taifa hawafanyi kazi. Ninachojua mimi ni kwamba kazi yao ni kuishauri serikali na siyo kuchukua hatua. Vile vile siamini kama kuwakamata wauza madawa ya kulevya, kukamata najangili ndiyo majukumu pekee ya Idara ya Usalama wa taifa.