johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,979
Katibu mkuu wa Chadema mh J J Mnyika alikuwa waziri kivuli wa Nishati katika serikali ya awamu ya 5.
Labda atueleze uzoefu wake katika kulisimamia na kulishauri shirika letu la umeme wakati akihudumu kama waziri kivuli.
Mnyika ni mtu anayeheshimika hivyo tunasubiri ufafanuzi wake tukizingatia wakati wake hapakuwa na mgao wa umeme.
Maendeleo hayana vyama!
cc: bwashee Tindo
Labda atueleze uzoefu wake katika kulisimamia na kulishauri shirika letu la umeme wakati akihudumu kama waziri kivuli.
Mnyika ni mtu anayeheshimika hivyo tunasubiri ufafanuzi wake tukizingatia wakati wake hapakuwa na mgao wa umeme.
Maendeleo hayana vyama!
cc: bwashee Tindo