Kwa mujibu wa Renatus Mutabuzi mawasiliano nje kidogo ya mji hakuna. Hii inashangaza hata vodacom haioni kuwa charity starts at home?Kweli wana igunga hata picha hamuoni? Yaani mngechagua hata chausta ningewaelewa.
hili suala la kukosekana mawasiliano igunga limenishangaza maana matokeo yalikuwa yanatiririka vizuri lakini kwenye thread ya matokeo ni porojo zinaendele hakuna matokeo
Nahisi wamezuiwa matokeo yasiflow make nilidaka kwa bahati Raymond akisema tokea mitandao ilivyozuiwa kutoa matokeo....ghafla baadae akasita,lakini hiii itakuwa ni mbinu ya kutaka kuchakachua
Hapana ndugu. Demand ingezidi mjini kunakounganisha matokeo yote bt hii ni tofauti. Kifupi kampuni za cm zikiongozwa na focadam ya RA hazijajenga network facilities(bts) Igunga vijijini so communication haikupewa priority japo ni jimbo la director.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.