Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
ivi ni kwanini unapokuwa kwenye matatizo ndo usumbufu wa maisha huzidi
1. unapokuwa kwenye uhusiano mbovu watongozaji nao humiminika kama maji ya mvua
2.ukiwa huna hela ndo habari za matatizo hujaa kwa wingi.
na matatizo mengine mengi ivi hii husababishwa na nini au unapokuwa na shida huwa nyuso zetu huwa hazifichi yaliyomo ndani ya mioyo na wajanja hutafuta sehemu ya kuhemea
haya maswali yamekuwa yananisumbua sana ilo la kwanza kina kaka /baba naomba michango yenu kina dada pia embu toeni mauzoefu yenu
1. unapokuwa kwenye uhusiano mbovu watongozaji nao humiminika kama maji ya mvua
2.ukiwa huna hela ndo habari za matatizo hujaa kwa wingi.
na matatizo mengine mengi ivi hii husababishwa na nini au unapokuwa na shida huwa nyuso zetu huwa hazifichi yaliyomo ndani ya mioyo na wajanja hutafuta sehemu ya kuhemea
haya maswali yamekuwa yananisumbua sana ilo la kwanza kina kaka /baba naomba michango yenu kina dada pia embu toeni mauzoefu yenu