Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
- Thread starter
- #21
Kwelikama huna matatizoa ya macho mwanaume unavaa za nini sasa? tuachie dada zenu
Kwelikama huna matatizoa ya macho mwanaume unavaa za nini sasa? tuachie dada zenu
Mie jicho tu kuligusa kidogo huwa nalichezesha mpaka basi, sasa hao wanaovaa lens sijui nawaonaje aisee maana mie ukiingia mchanga tu alafu nimwambie mtu ananitoa ni shughuli mpaka wakati mwingine naamua kulala tu nikiamka asubuhi ninakuta mechanisms ya mwili yenyewe imeutoa, hao wanaovaa nawaona kama mashujaa
SanaKwa wanaume kuvaa lenzi nikujichoresha sana
Kwanini?Sana