Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
Au ni ushamba wangu tu. Au macho yake ndo yalivyo??
Swali la kujiuliza hiyo mitindo anawafanyia kina nani, ukute hata wewe unavutiwa na hiyo mitindoYaani mwanaume akishakuwa mwanamitindo huwa namuweka kundi jingine kabisa
OK. Asantehio ni editin
bt wanaume pia hizo lenz wanaeza kuvaa bt ni urembo wa kike so ukivaa mtt wa kiume inakua haiko sawa
Anakuwa na tabia za umama KabisaYaani mwanaume akishakuwa mwanamitindo huwa namuweka kundi jingine kabisa
KumbeMi sijui mambo ya Urembo ila niliambiwa wanavaa wengine badala ya kuvaa miwani wanavaa lens na ndio maana siku hizi utaona wazee wenye pesa hawavai miwani kumbe wanavaa lens
Swali la kujiuliza hiyo mitindo anawafanyia kina nani, ukute hata wewe unavutiwa na hiyo mitindo
KumbeUsidhani watu wote wasiovaa miwani hawana tatizo la macho wengine wanavaa lens
DuYah ni kweli niewai vaa pia lens za macho zamani sana wakati nko o level, zinahitaji usafi sana ni utumwa pia mana unaweka asubuhi unatoa wakati wa kulala zinahitaji dawa nlikua natumia inaitwa Opt-free ilikua gharama kidogo enz hizo...
Sawa. Asanteanavaa tu mtu yoyote anayependa kuvaa.
Kula likeYaani mwanaume akishakuwa mwanamitindo huwa namuweka kundi jingine kabisa
Mie jicho tu kuligusa kidogo huwa nalichezesha mpaka basi, sasa hao wanaovaa lens sijui nawaonaje aisee maana mie ukiingia mchanga tu alafu nimwambie mtu ananitoa ni shughuli mpaka wakati mwingine naamua kulala tu nikiamka asubuhi ninakuta mechanisms ya mwili yenyewe imeutoa, hao wanaovaa nawaona kama mashujaaYah ni kweli niewai vaa pia lens za macho zamani sana wakati nko o level, zinahitaji usafi sana ni utumwa pia mana unaweka asubuhi unatoa wakati wa kulala zinahitaji dawa nlikua natumia inaitwa Opt-free ilikua gharama kidogo enz hizo...