Nilikuwa naskiliza kipindi chao cha michezo muda si mrefu(clouds FM) mchambuzi amesema kuwa Libya wanacheza na South Sudan leo na kutoa uchambuzi mrefu tu kuhusu huo mchezo! Mbona ratiba ya CAF inaonesha Libya wanacheza na South Africa leo? Nimesikiliza muda sijasikia masahihisho yoyote, ina maana hakuna ufuatiliaji wowote wa vipindi toka kwa uongozi ili kigundua tatizo na kulirekebisha??? Hata shafii dauda mzee wa UNDERDOGS alikuwa hafuatilii?