ITV 'Yahaha' baada ya viewers kupungua...


Utafiti uchwara uliojaa uchumia tumbo na kujikomba
 
akikuwa atacha kuangalia silawadu
Wewe bado ni kijana mdogo na unawaza ktk ujana wako maana unazungumzia hata sjui silawadu[emoji36][emoji36][emoji36] kwa watu makini na wanaojitambua
 
nilipenda sana kuangalia ITV nikiwa tz,but majuzi nimerudi nikakuta vipindi havina mvuto kabisa.I think wanatakiwa wabafilike,mfano Isidingo sidhani kama inawagazamaji wengi.Nadhani inabadilika sasa na kua TV ya wazee.
... Hee Isidingo imefanyaje??.. Yaani saa 1.30 hunibandui kwenye Isidingo...
 
Labda shilawadu...
watanzania wengi wanapenda abali za umbea na majungu ndiyo maanamagazati ya udaku yanauza sana kuliko majarida/gazeti yatoayo elimu ya maisha au habari za msingi, hii upelekea kuendelea kuwa na taifa la waongeAJI SANA KULIKO MATENDO mfano katika elimu , siasa na uchumi.
 
utakua haris kapiga ww
 
Kuna habari ya azam kupewa tuzo, sasa inanichanganya na hii
 
Anaengalia hio claus mchunguze atakua ana matatizo yaakili lazma, kituo cha kupromot mashoga!!
 
Hivi kweli Azam HD sport inaingia kwenye other?
hao ni wapishi wa propaganda za mitandao kwa ajili ya kibiashara; eti hadi tbc2 ipo above azam two ;
kwa hali hii tanzania ya vi-wonder inakucha9in gwajima voice)
 
Nimesikia kwenye radio tangazo moja eti mapenzi mubashara, yaani nimejisikia vibaya sana tangazo chafu liko uchi, yaani kama uko na wazazi au watoto,!!! Utajisikia vibay Lazima
 
mimi nilikuwa naipenda ITV wakati ule bado haijatekwa na sisiem ila kwa sasa sins kituo nachoangalia zaidi ya BBC dila ya dunia, clouds ndio sitaki hata kuisikia
Washaurini na ukawa wateke baadhi ya TV!
 
nilipenda sana kuangalia ITV nikiwa tz,but majuzi nimerudi nikakuta vipindi havina mvuto kabisa.I think wanatakiwa wabafilike,mfano Isidingo sidhani kama inawagazamaji wengi.Nadhani inabadilika sasa na kua TV ya wazee.
Wat Isidingo? Mkuu hicho ni kipindi bora kabisa na wateja tupo.
 
KIJANA mkubwa hivyo unakaa na kuishindanisha ITV Super brand na CLAUZI shilawadu????


Ama kweli hii ni Tanzania ya viwanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…