Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 465
- 842
Habari wananzengo..
Hongera simba kwa kuwakilisha vyema taifa
Turudi kwenye mada inawezekana vipi chombo kikubwa kama ITV, superbrand wa miaka kadhaa hapo nyuma kupromote utapeli, wa hii kampuni ya kalyinda,?. Kuna kila sababu ya ITV na management nzima kuwajibika juu ya hili. in fanct ni kwamba ITV imejijengea uaminifu kwa wananchi hivyo kutangaza hiyo kaylinda ilikuwa ni rahisi kwa mtu yoyote kujiunga.
ITV WAHOJIWE WATUONESHE WAPI ALIPO KALYINDA..
ITV mmejishusha thamani kubwa machoni kwa watanzania ikiwezekana mtutake radhi.
Hongera simba kwa kuwakilisha vyema taifa
Turudi kwenye mada inawezekana vipi chombo kikubwa kama ITV, superbrand wa miaka kadhaa hapo nyuma kupromote utapeli, wa hii kampuni ya kalyinda,?. Kuna kila sababu ya ITV na management nzima kuwajibika juu ya hili. in fanct ni kwamba ITV imejijengea uaminifu kwa wananchi hivyo kutangaza hiyo kaylinda ilikuwa ni rahisi kwa mtu yoyote kujiunga.
ITV WAHOJIWE WATUONESHE WAPI ALIPO KALYINDA..
ITV mmejishusha thamani kubwa machoni kwa watanzania ikiwezekana mtutake radhi.