ITV vs Rais Magufuli na CCM

Status
Not open for further replies.

Wacha chuki za kijinga wewe!..unafikiri wewe tu ndo unayeangalia TV?..they ar reporting haya mambo perfectly well...they are professionals hawaendeshwi na mihemko ya kijinga kama wewe!....to hell na mikakati yako ya kuleta chuki katika jamii yetu
 

You are not constructive!
 

ni kweli mkuu imewauma sana tinatinga kushinda wasubiri miaka 100
 
Tatizo lako ulikua baa,hotuba ilirudiwa yote ussiku.
Ukitaka habari za kusifia hicho unachokipenda fungulia Starccm, bw.Diallo atakufurahisha
 

Kula LIKE zangu 1,000.
 
Mkuu hawa jamaa wanaweza kuwa na mapungufu yao
ila sio kwa kiwango kama cha TBCCM , yaani hao hao
jamaa wa itv ukiangalia habari ya jana ya kukamatwa
kwa maofisa wa TRA hakika nilipenda sana ile habari.

hakika!..huo 'ufuatiliaji wake wa karibu' angalau ungeonesha tukio la karibuni kabisa!
...afterall,hotuba ya ufunguzi wa bunge ya Mh.Rais ilioneshwa live..,na kusomwa mwishoni inatoa fursa kwa habari zingine pia zitufikie...
 
Last edited by a moderator:
Eti "NILIKUWA BAA" as if ni sifa. Wahi nyumbani kajiunge na familia kuona kinachojiri nchini na duniani. na nyie ndo mnawafanya waweke habari mwishomwisho ili kuwasaidia mnapomalizia round za mwisho. WAHI NYUMBANI...
 
Endelea kuangalia *TV na TBC ndo zinakufaa. Achana na TV za viwango km ITV.



 
Hiyo ni market plan.... sometimes wakiweka habari nyeti mwanzoni ikiisha watu wanahama
 
Ni kweli. ITV hawatoi kipaumbele habari za Rais JPM. Hata jana Habari TRA na bandari haikuwa ya kwanza.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…