Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Le super brand Afrika Mashariki. Nini kimekutokea? Wewe tunayekutegemea kwa habari za hakika. Mbadala wa tbc, leo mitambo yako haina viwango. Satelait zako vipi? Zinahujumiwa? Leo hii kweli naangalia taarifa ya habari lakini nalazimika kubadili stesheni kutokana na taarifa na vipindi kukatikakatika?
Nikadhani basi ni mimi pekee (natumia dstv) lakini nikicheki stesheni zingine ziko smooth kabisa. Hakika kama ni kwa wote hii hali inatokea basi mjitafakari sana. Hii stesheni mnaenda kuimaliza na kuipoteza. Na nitashangaa kama mtarudi na slogan yenu ya Le super brand
Nikadhani basi ni mimi pekee (natumia dstv) lakini nikicheki stesheni zingine ziko smooth kabisa. Hakika kama ni kwa wote hii hali inatokea basi mjitafakari sana. Hii stesheni mnaenda kuimaliza na kuipoteza. Na nitashangaa kama mtarudi na slogan yenu ya Le super brand