ITV ni CHADEMA damu!

Labda nao wanataka kuanza biashara ya gongo...

Unaandika kwa upole kama unataka kukata roho...

Pole sana mkuu.....Hiyo ndo Chadema bana...Fanya kazi yako ya U-Nurse attendance wachana na mambo ya CDM yatakupa presha bure..

Manesi hoyeeeee!!!
 
Kinyagi na ngongo zinatofauti gani?? Au kwa vile CCM mnatengeneza Konyagi ni poa tu.

Mwambieni Baba Ritz hiyo adhabu ya foleni kwa sisi tunaoishi Mbezi zote mbili imetosha. CCM mnatuua wtz

umeshalewa,sio "kinyagi" ni konyagi.
 
Leo Mzee wa gongo alikuwa na kauli mbiu ipi maana nilimpa ushauri sa sina hakika mrejesho wake ulikuwa vipi?
 
Back
Top Bottom