ITV na isidingo the need???

ITV na isidingo the need???

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Hivi jamani kuna kitu sijakielewa hapa kuhusu hii isdingo the need, kwanini huwa haishi?? Ina maana itv wamekosa kipindi kingine cha kuelimisha jamii zaidi ya hiki cha isdingo?? Au kuna percent wanapata kutoka kwa hao isdingo wenyewe???? Isdingo yenyewe haina mashabiki hata kidigo, maisha gani ya ki miner yasiyo na mwisho?? Itv
muache kutuzingua banaaa!!!
 
Peleka uzi jukwaa la burudani utawakuta wenye isidingo yao watakujibu
 
Soap opera huwa haziishi kulazimisha kuisha ni kuingilia kazi za watu.yaani watu wamewekeza pesa zao ili tamthilia izungumzie maisha ya kila siku,halafu anatokea mtu kutoka namtumbo na miguu yake iliyopinda anabana pua eti "mbona haiishi"?Kama vipi anzisha ya kwako halafu iishe baada ya siku moja.
 
Soap opera huwa haziishi kulazimisha kuisha ni kuingilia kazi za watu.yaani watu wamewekeza pesa zao ili tamthilia izungumzie maisha ya kila siku,halafu anatokea mtu kutoka namtumbo na miguu yake iliyopinda anabana pua eti "mbona haiishi"?Kama vipi anzisha ya kwako halafu iishe baada ya siku moja.

Atakuwa haelewi lugha ya watu(English) Tunaipenda saaana!
 
Long time ago, kipindi hicho kama mnamiliki tv kwenu nyie ndo matajiri mtaa mzima, hahaaahhahaha hii kitu ya zamani kweli kweli
 
Naomba kujua ka Leti Matabane aliyefariki mwezi wa pili bado anaonekana.
 
Ila kiukweli Isidingo inagusa kwenye maswala yapi hasa???? Tushazoea kuangalia series tofauti zenye lengo maalum. Yaweza kuwa ushushu ama waokoaji huru, ama ujambaz wa mtandao ama mapenzi nk. Lakin hawa jamaa siamini kama kuna mtu ambae alianza kufuatilia kipindi kile mpaka leo anafuatilia yani sielewi. Nikiangalia waliokuwepo kule 2001 leo hii siwaoni yani washapotea nadhani wamebaki wa4 hivi.
 
mie naipenda isidingo bana..na nikiikosa lazima niangalie marudio
Hivi jamani kuna kitu sijakielewa hapa kuhusu hii isdingo the need, kwanini huwa haishi?? Ina maana itv wamekosa kipindi kingine cha kuelimisha jamii zaidi ya hiki cha isdingo?? Au kuna percent wanapata kutoka kwa hao isdingo wenyewe???? Isdingo yenyewe haina mashabiki hata kidigo, maisha gani ya ki miner yasiyo na mwisho?? Itv
muache kutuzingua banaaa!!!
 
wewe huijui isidingo tulia tuliiii. saa moja hainikosi nyumbani kwa sababu ya isidingo. it is the best kwangu.
angalia za filipino miezi mitatu zinakwisha
 
Back
Top Bottom