We unashangaa mbunge kuwa nathaman wakati Faru John ana thaman kuliko watu sabaUkisema amenusurika kifo..unamaanisha kwamba Sugu anathamani kubwa kuliko huyo mtoto aliyekufa...habari kubwa hapa ni kifo cha mtoto na siyo kunusurika kwa sugu
Amelewa, amenywea mbele na nyuma.Mkuu unajielewa? Au umelewa?
TBCCmMahaba ya CDM na ITV ...ni TV yao ile
Vipi tena mkuu, mbona hivyo? Pole sana.Ambayo haijakamilika
Shida ya hiyo Tv ndio hiyoo. Hata waandishi wana mahaba kupitiliza. Kwanza huyo alitakiwa awe selo! !angekua rais wa kawaida angekua anaozea mahabusu saa hii. Hayo ndio maajabu mengine ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Usalama kwao ni kwa waheshimiwa si kwa raia wa kawaida, ndio maana ukiwaita kwenye matukio wanakwambia uwaletee gari!
Yaelekea huna hata ABC za udereva gari usipokanyaga mafuta obvious itaslow down unaweza simamisha gari hata kwa gear!Na hiyo mashine iliyofeli breki iliweza kusimama vizuri tu baada ya kukimbizwa na boda boda, na ikaweza kurudi eneo la ajali na kusimama vizuri tu....breki za ajabu sana hizi wallahi.
Ni mpumbavu tu ambaye ataendesha gari isiyo na breki baada ya kusimama, unarudi na gari isiyo na breki na kubeba nayo majeruhi....Yaelekea huna hata ABC za udereva gari usipokanyaga mafuta obvious itaslow down unaweza simamisha gari hata kwa gear!
Unaelewa maana ya kufeli brake? Hilo povu sio bure umebeba sumu kali na umejiandaa kutolewa hivyo hutaelewa kamwe!Ni mpumbavu tu ambaye ataendesha gari isiyo na breki baada ya kusimama, unarudi na gari isiyo na breki na kubeba nayo majeruhi....
Ndugu yangu ama wewe au huyo 'dereva' ndo hamjui ABC za udereva.
Hii story haiungi....fungua macho na akili zako wewe unayejiona dereva unayejua ABC.
Du!Unaelewa maana ya kufeli brake? Hilo povu sio bure umebeba sumu kali na umejiandaa kutolewa hivyo hutaelewa kamwe!
Huko kichwani umeeka nini?Sijaongelea sugu post yang inahusianaje ITV
Hebu soma ulichoandika hasa paragraph ya 3, usiwe mwandishi wa Gari bovuSijaongelea sugu post yang inahusianaje ITV
Na paragraph ya Tatu umeandika mwenyewe au umeandikiwa? Vyombo vya usalama vinamshikiria dereva. Sasa Dereva anashikiliwa kwa lipi? Au kwasababu hakuwa kwenye Gari?Taarifa ya ITV kupuzia aliyekufa na kumpa kipaumbele aliyenusurika
Duuuu,Hata kama alikuwa haendeshi yeye lakini kwanini dereva hajawekwa ndani kama wanavyofanyiwa madereva wengine? Kuna jambo kati ya Cdm, Polisi na ITV.