duh mleta mada yawezekana ana ZIKA, ana ushahidi gani na maneno haya " sugu ameua, Sugu amekatisha uhai wa mtu kwa uzembe ". ama kweli NIMR wako sahihi.
...ajali ni ajali kwa muhanga wa ajali. ..lkn uttering wa mfanyishaji ajali usitufanye tukawa mazuzu ktk kutafuta ri. ...kwa nini " gari in a you huduma mbunge ifeli breki? Kabla ya tukio la kufeli breki walitakiwa wapi? Walipita wapi na kwa spidi gani? Baada ya kumgonga msichana gari ilikwenda umbali gani na kwa spidi gani? Ilikata kona? Ngapi? Ilikatiza ktk makutano ya barabara? Mangapi? ...abiria atakuwa shahidi mzuri ama wa marehem au Dereva wake. ...mambo kwa pilato!
usitulazimishe tuamini kwamba your shallow in deed when it comes to reasoningHata kama alikuwa haendeshi yeye lakini kwanini dereva hajawekwa ndani kama wanavyofanyiwa madereva wengine? Kuna jambo kati ya Cdm, Polisi na ITV.
Kama hiyo ndo kero yako yaani ITV sasa chadema inaingiaje kwenye hii ishu??Taarifa ya ITV kupuzia aliyekufa na kumpa kipaumbele aliyenusurika
Siku nyingine usicopy na kupest bila kusomaSijaongelea sugu post yang inahusianaje ITV
Ajali ni ajali labda we hujawahi kuendesha chombo cha moto barabarani. Na ndio maana ma Traffic (police) waliokuwa wanawahi ajali hiyo nao walikula mzinga.Hata kama alikuwa haendeshi yeye lakini kwanini dereva hajawekwa ndani kama wanavyofanyiwa madereva wengine? Kuna jambo kati ya Cdm, Polisi na ITV.
Kwahiyo hapa kero yako ni nini haswa?
Sawa tumekusoma mwongo wewe je ulikuwepo iyunga chanzo cha ajali unakijua au umeamua kutuletea unafiki huku?