Frey Cosseny
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 1,984
- 1,409
Wala Sugu hakuwa dereva wa gari iliyoua. Alikuwa abiria japoa gari ya kwake.
Mh. Sugu alikuwa anaendesha? Mfumo wetu wa elimu umetufikisha hapa kuwa na watu wa ajabu ajabu kama wewe, chuki zako kwa Mh Sugu zisikupotezee focus
Ndio kitu nilikua najiuliza, kwamba Mr 2 MP alikua amekaa kunako usukani yeye mwenyewe?Wala Sugu hakuwa dereva wa gari iliyoua. Alikuwa abiria japoa gari ya kwake.
Kwahiyo hapa kero yako ni nini haswa?
Aaah bro, rudia kusoma post yako kama kweli hujamtaja sugu.Sijaongelea sugu post yang inahusianaje ITV
Kama na wewe ni muandishi basi umejitukanisha .Sijaongelea sugu post yang inahusianaje ITV
We are discussing the content of your post, if you cant think of the content then you are just HEWA like other hewasSugu ameingiaje hapo Au una zika
Sijaongelea sugu post yang inahusianaje ITV
Halafu kasingizia alikuwa ni dereva
leta ushahidi kuwa sugu alikuwa abiria.sugu alikuwa peke yake ndio maana alikimbia,akaenda kumwita DriverSugu alikuwa abiria kwenye hii ajali ingawa yeye ndie mmiliki wa gari.
Dereva wake alijaribu kusimama kwenye zebra ili yule mtoto yule avuke barabara pale kwenye zebra lakini ndio ivyo tena breki zikafeli ajali ikatokea.
Hilo linaweza kumtokea mtu yeyote na ukumbuke gari ni kama mashine sometimes mashine inafeli kwasababu mbalimbali.
Taarifa ya ITV kupuzia aliyekufa na kumpa kipaumbele aliyenusurikaKwahiyo hapa kero yako ni nini haswa?
Hahahaha Angekuwa Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi ITV ingeshikia bango kifo cha Yule mtoto tungekomajeSugu alikuwa abiria kwenye hii ajali ingawa yeye ndie mmiliki wa gari.
Dereva wake alijaribu kusimama kwenye zebra ili yule mtoto yule avuke barabara pale kwenye zebra lakini ndio ivyo tena breki zikafeli ajali ikatokea.
Hilo linaweza kumtokea mtu yeyote na ukumbuke gari ni kama mashine sometimes mashine inafeli kwasababu mbalimbali.