Edward A Chapa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 973
- 1,394
Umeshawasili lkn wao wapo Studio wanaongea tuu Kama hawajielewi Bora wangewapa Clouds warushe liveKwani mwili umeshawasili? Walisoma ni leo Jumatatu ila sijaona maandalizi watanzania viungo vya DSM kumpokea
Washaanza kufeli kabla hata hatujamsahau mwenyekiti wao.Leo ITV mmetuboa watazamaji wenu, tulikuwa tunategemea mtatulushia Mubashara toka mwili unavyoshushwa na yanayojili mitaani Kama ilivyokuwa wakati wa Ruge lkn sivyo, Tambueni huyu ni mtu Mkubwa na watu wengi tunataka kuangalia japo tupo mbali, lkn ninyi Mmekaa tuu kwenye TV km vile malumbano ya hoja.Tunataka kuona live
Yaani mwenyewe Kafa Station nayo inaanza Kuwa ya hovyoWajinga kweli nipo naangalia livestreming naonanwanazungumza tu studio hawaonyeshi airport. Nimeacha kuangalia
Mbona Clouds walikuwa wanatuonyesha wakati wa Ruge?View attachment 1089663 Unataka Itv waonyeshe jinsi boss wao alivyohuzunisha? Aisee mtu alitokea VIP leo anarudi cargo tena kwa fork mpweke hana ulinzi....Dah! Kweli kifo hakina huruma!
Ingia youtube onlineYaani mwenyewe Kafa Station nayo inaanza Kuwa ya hovyo
AiseeeeeeeeeeeeeeView attachment 1089663 Unataka Itv waonyeshe jinsi boss wao alivyohuzunisha? Aisee mtu alitokea VIP leo anarudi cargo tena kwa fork mpweke hana ulinzi....Dah! Kweli kifo hakina huruma!
Subiri mwili utolewe ndani watakuonyeshaMbona Clouds walikuwa wanatuonyesha wakati wa Ruge?
Kifo ndyo kiboko ya mwanadamu!Mwanadamu ni mavumbi na mavumbini utarudi
Nafuu huyo kakatiwa ticket ya kurudishwa kwao, wengine hukosa hata nauli ya kurudishwa na huzikwa na manispaa za hukoView attachment 1089663 Unataka Itv waonyeshe jinsi boss wao alivyohuzunisha? Aisee mtu alitokea VIP leo anarudi cargo tena kwa fork mpweke hana ulinzi....Dah! Kweli kifo hakina huruma!
Kama jina lako lilivyo na ndio akili yako na mawazo yako yalivyo! Yaani huwezi kujua Kuwa ofisi nyingi siku hizi kuna TV? So Unafanya kazi Huku unaangalia TV? Pole Sana hujui ulisemalo.Yaani mtu mzima na akili zako unalilia kuoneshwa maiti ya mtu mwingine usiye na uhusiano naye...dah! Aliyeturoga ana roho mbaya kshenz. Kafanye kazi fala wewe
Wanaonyesha live muda huu sa hivi ndo wanafanya maombi namuona jack hapa kafumba macho kiwizi wizi nadhani ana wasiwasi kama kuna mtu anamzaba kofiLeo ITV mmetuboa watazamaji wenu, tulikuwa tunategemea mtatulushia Mubashara toka mwili unavyoshushwa na yanayojili mitaani Kama ilivyokuwa wakati wa Ruge lkn sivyo, Tambueni huyu ni mtu Mkubwa na watu wengi tunataka kuangalia japo tupo mbali, lkn ninyi Mmekaa tuu kwenye TV km vile malumbano ya hoja.Tunataka kuona live