cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,769
- 73,488
Mwisho wenu umekaribia.
Ha ha ha haaaaaaa
Nyie mtasagia meno, sisi wananchi yetu macho.
Mwisho wenu umekaribia.
Huku mitaani hakuna mtu mwenye hama na nyie.Uzuri hata Nape kawaonya 2020 mtapata tabu sana ila kwa jinsi mlivyokewa nadaraka hamtaki hata kujirekebisha.Ha ha ha haaaaaaa
Nyie mtasagia meno, sisi wananchi yetu macho.
Ushaiona halafu unataka uione tena Huna kazi za kufanya?....ITV wameripoti habari ya Bashe kutaka Tume iundwe kuchunguza matukio ya utekaji yaliyotokea siku za hivi karibuni.
Cha kushangaza sijaona wakirusha clip ya Bashe akiomba muongoza huo ndani ya Bunge kitu ambacho mimi kmenishangaza kwani sikutarajia.
Kama labda mimi ndio sikuona basi alieona anisahihishe maana huenda ni macho yangu.
Shukrani sana siku hizi tuna mitandao ya kijamii maana huenda haya tusingeyajua kwa undani.
Bavicha mna matatizo ya ubongo.Unalazimisha ITV waoneshe unavyotaka wewe kwani unawalipa mishahara?Anzisha TV yako upangie watu cha kuoneshaITV wameripoti habari ya Bashe kutaka Tume iundwe kuchunguza matukio ya utekaji yaliyotokea siku za hivi karibuni.
Cha kushangaza sijaona wakirusha clip ya Bashe akiomba muongoza huo ndani ya Bunge kitu ambacho mimi kmenishangaza kwani sikutarajia.
Kama labda mimi ndio sikuona basi alieona anisahihishe maana huenda ni macho yangu.
Shukrani sana siku hizi tuna mitandao ya kijamii maana huenda haya tusingeyajua kwa undani.
Magu hupigia wenye vituo vya habari kuzuia habari ambayo haimfrahishi isitangazwe. huenda walizuiwa wasiitoeITV wameripoti habari ya Bashe kutaka Tume iundwe kuchunguza matukio ya utekaji yaliyotokea siku za hivi karibuni.
Cha kushangaza sijaona wakirusha clip ya Bashe akiomba muongoza huo ndani ya Bunge kitu ambacho mimi kmenishangaza kwani sikutarajia.
Kama labda mimi ndio sikuona basi alieona anisahihishe maana huenda ni macho yangu.
Shukrani sana siku hizi tuna mitandao ya kijamii maana huenda haya tusingeyajua kwa undani.
Huku mitaani hakuna mtu mwenye hama na nyie.Uzuri hata Nape kawaonya 2020 mtapata tabu sana ila kwa jinsi mlivyokewa nadaraka hamtaki hata kujirekebisha.
Time will tell.
.
mkuu,comment yako inakudhalilisha mwenyewe. ukiendelea hivyo utapuuzwa na kudharauliwa.Wewe ni mjinga tena mjinga sana!
Mkuu Salary Slip ina maana mara hii tu umesahau mfumo wa kuripoti habari za bunge tangu Uchwara alipoingia madarakani chini ya uratibu wa "Mzee wa goli la Mkono " Nape Moses Nnauye ambaye leo analilia ?ITV wameripoti habari ya Bashe kutaka Tume iundwe kuchunguza matukio ya utekaji yaliyotokea siku za hivi karibuni.
Cha kushangaza sijaona wakirusha clip ya Bashe akiomba muongoza huo ndani ya Bunge kitu ambacho mimi kmenishangaza kwani sikutarajia.
Kama labda mimi ndio sikuona basi alieona anisahihishe maana huenda ni macho yangu.
Shukrani sana siku hizi tuna mitandao ya kijamii maana huenda haya tusingeyajua kwa undani.
Ni kweli kulikuwa na hili jambo ila mbona Millard Ayo ana hiyo clip?Mkuu Salary Slip ina maana mara hii tu umesahau mfumo wa kuripoti habari za bunge tangu Uchwara alipoingia madarakani chini ya uratibu wa "Mzee wa goli la Mkono " Nape Moses Nnauye ambaye leo analilia ?
Kuwa matukio yanayotokea ndani ya ukumbi wa bunge wakati bunge likiwa ktk session, yanachujwa (censored) kabla ya vyombo vya habari kupewa ili wakarushe ktk media zao iwe radio ama TV...
Ni wazi ITV wala siyo wa kulaumiwa na usitegemee jambo lolote lililotokea ndani ya bunge lenye negative image kwa serikali media zitapewa zikarushe ama kutangaza, la Bashe ni miongoni mwa hilo...
Matangazo ya bunge ni haki ya Bunge TV ama radio pekee kuyarusha, na mwisho wa siku after carefully censoring, clips hutolewa kwa ajili ya public.
Private medias haziruhusiwi kuweka/kusimika camera zao humo kuchukua matukio yoyote unless otherwise.
Ila huko nje waweza kufanya interview na mbunge yeyote na ndiyo maana kama umeangalia habari ya leo kupitia ITV channel, Mch. Peter Msigwa na wengine walihojiwa na ripota wa hiyo habari juu ya jambo lilelile....
hivi bashe ni nani? kwamba kila anachoongea kirushwe ITV??? Mtu ana personal issues zake na anataka kuuaminisha umma kwamba matatizo yake binafsi ni matatizo ya Tanzania yote. nonsenseITV wameripoti habari ya Bashe kutaka Tume iundwe kuchunguza matukio ya utekaji yaliyotokea siku za hivi karibuni.
Cha kushangaza sijaona wakirusha clip ya Bashe akiomba muongoza huo ndani ya Bunge kitu ambacho mimi kmenishangaza kwani sikutarajia.
Kama labda mimi ndio sikuona basi alieona anisahihishe maana huenda ni macho yangu.
Shukrani sana siku hizi tuna mitandao ya kijamii maana huenda haya tusingeyajua kwa undani.
Mihemko ni kilevi kibaya kuliko madawa ya kulevyaITV wameripoti habari ya Bashe kutaka Tume iundwe kuchunguza matukio ya utekaji yaliyotokea siku za hivi karibuni.
Cha kushangaza sijaona wakirusha clip ya Bashe akiomba muongoza huo ndani ya Bunge kitu ambacho mimi kmenishangaza kwani sikutarajia.
Kama labda mimi ndio sikuona basi alieona anisahihishe maana huenda ni macho yangu.
Shukrani sana siku hizi tuna mitandao ya kijamii maana huenda haya tusingeyajua kwa undani.
Wee jamaa hamnazo, sasa kwa comment hii ulikuwa na haja ya kuanzisha uzi na kulalamika wakati unajua cha kufanya??Siku hizi ni bora kununua bundle kuliko kulipia king'amuzi.
Na ndio kinachotokea siku hizi watu wengi hawana mizuka na TVAaah wamejidhalilisha tu mbona muongozo wa Bashe tulishauona live toka mchana saa hizi huko insta ndo habari hot kila mtu karusha clip.sasa nashangaa eti ITV hawajarusha wameikata.unajua last week nilimsikiliza kipanya kwenye lile tukio la msichana aliejitupa baharini kwamba vyombo vya habari vinatakiwa vijiongeze.coz mitandao inatufanya tupate habari yoooote kabla wao hawajarusha kwenye Habari au magazeti.so itafika wakati hawa ITV wakiendeleza huu ujinga watajikuta wao wafanyakazi tu ndo wanaangalia TV yao?