Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,906
Na hauli vyakula vyenye kutiwa sukari? Na vp mafuta ya kupikia nayo unajua kama sumu je huwa hutumii pia?Huu ni uhalisia sikumbuki mara ya mwisho Kutumia sukari ni lini
Mda mwingi natumia tangawizi na viungo vingine vya chai naifurahia sana chai isiyo na sukari badala yake nimekuwa nikitumia ndizi Kila pale napopata ham ya sukari