ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

Status
Not open for further replies.
Asante kwa taarifa ila ITV sio kituo cha Taifa

imewauma walivyo wajinga wataacha kujadili taarifa watajadili hapa.Sijui kwa sababu ni ni ndugu yao hivi mna hisa au???
TBC ndio tv ya TAIFA na lazima mwaka huu ikifika saa mbili kujiunga taarifa ya habari TBC baada ya hapo ndo mtaonesha habari zenu za kujitangaza .
tunasubibi mkutano
viva UKAWA
 
Mbowe badala ya kukaa bungeni kupitisha bajeti anazurura tu hovyo, bunge lisitishe kuwalipa mafao yao,
 
kwake (na kwangu), ITV ni Kituo Cha Taifa. Chagua na wewe, kituo chako cha Taifa

imewauma walivyo wajinga wataacha kujadili taarifa watajadili hapa.Sijui kwa sababu ni ni ndugu yao hivi mna hisa au???
TBC ndio tv ya TAIFA na lazima mwaka huu ikifika saa mbili kujiunga taarifa ya habari TBC baada ya hapo ndo mtaonesha habari zenu za kujitangaza .
tunasubibi mkutano
viva UKAWA

Embu tuambie kituo cha Taifa kingine zaidi ya I.T.V ni kipi usilete T.V ya chama hapa.

ni cha kimataifa eeh!

Siasa zisiwafanye mkakosa uwezo wa kufikiri, ukweli utabaki ukweli tu, ITV sio kituo cha Taifa Bali ni kituo kikubwa kinachopendwa. Hata kama TBC haipendwi itaendelea kuwa ya taifa.
 
ngoja nikanunue kisimbuzi kingine maana hawa startimes najua lazima ITV itakuwa inascratch..
 
Hii tv nijanga la taifa kwa mustakabali wa taifa letu tv kama hii hatuitaji ni hatari kwa raia wetu

Lazima tujena sheria ya kuzi control hizi tv uchwaro kama hii itv ni janga kwanza lile eneo lamichezo ya watoto itabidi Mengi arudishe kwa manispaa ya kiondoni
 
Mbowe badala ya kukaa bungeni kupitisha bajeti anazurura tu hovyo, bunge lisitishe kuwalipa mafao yao,

Unazungumzia nini wewe njaa kali kati ya wabunge 250na ushee wa ccm waliopo bungeni hawafiki hata 50kwa mahudhurio ulishawahi jiuliza ni kwa nini ?fungua bongo lako lililo lako.
 
Siasa zisiwafanye mkakosa uwezo wa kufikiri, ukweli utabaki ukweli tu, ITV sio kituo cha Taifa Bali ni kituo kikubwa kinachopendwa. Hata kama TBC haipendwi itaendelea kuwa ya taifa.

Taifa la ccm sio vinginevyo siwezi toka Tido Muhando aondoke siwezi tizama hii chanel hata kwa gobore.
 
kalale wewe.....sisi ndiyo tunakuambia ITV ni television ya taifa.

peleka huko nanii yenu ile ya pale jirani

Unajirihirisha ni jinsi gani una makamasi usoni, kila kitu unaweka siasa, utumbo mtupu
 
Sikuhizi sina morari na hizi habari za chadema, yani kale ka hamu kamenitoka kabisa. NAO WAJIFUNZE KUJA NA SERA

Hata cdm hawanaga shida na wewe nenda huko kwa mahinterahamwe na ndugu zao
 
Jamani NATAFUTA JIKO LA UMEME NA GAS PLATE MBILI KWA BEI NAFUU
NAMBA 0757796706/0682916351
 
Ni kituo cha taifa kwa maana ni kimbilio la watanzania zaidi ya 80%, wote hutumia kupata habari kupitia ITV,

Hili DONGO limemfaa maana siku yote ya leo haitakuwa nzuri kwake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom